Tuesday, February 24

Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika Show Hiyo.

 
Dear Valued USER,

We received your instruction to terminate your Google account

You need to confirm you made this request or we will continue with the request
Russian-women-Beach-pictures-31
Yako mengi mazuri ya maeneo mbalimbali tunayajua, mfano ni ile list ya Majiji salama zaidi Duniani kwa kuishi, nikakuwekea na ile nyingine ya Beach kali zaidi duniani, leo nimeipata hii nashare na wewe tena mtu wangu.
Gazeti la Daily Mail ni moja ya Magazeti makubwa zaidi Uingereza na Ulaya, wataalamu wao wamefanya utafiti na kuyataja maeneo kumi ambayo siyo salama duniani kwa wanawake kutembelea kipindi cha mapumziko na sikukuu kama wakiwa peke yao.
  1. India: Jamaa wanasema huku kumekuwa na stori nyingi za matukio ya ubakaji wa wanawake, hii imefanya baadhi ya watalii kuwa na hofu ya kutembelea nchi hiyo. Ripoti hiyo inaonesha kunaripotiwa tukio la ubakaji kila ndani ya dakika ishirini.

PBF_4318Mez B alifariki Ijumaa ya February 21 2015 nyumbani kwao Dodoma baada ya kulazwa hospitali Dodoma zaidi ya mara nne toka mwishoni mwa mwaka 2014, tatizo kubwa lilikua ni kifua na mgongo ambapo Jumatatu ya February 23 2015 akazikwa kwenye makaburi ya Wahanga Maili Mbili Dodoma.
Mpaka anafariki Mez B hakuwa ameoa wala hana mtoto ambapo pia amefariki siku chache kabla ya kuachia single yake mpya kwenye Radio na TV. PBF_4313Baadhi ya Wasanii waliojitokeza kumzika ni pamoja na Dogo Janja na Raymond wa Tiptop Connection, Hemedy PHD, Gelly wa Rymes, Baba Levo, M2theP, Noorah na Dark Master kutoka Chemba Squad.
PBF_4311

Monday, February 23

KAMA kawa, kama dawa. Ni siku nyingine mapaparazi wetu wanaotii amri za mkuu wao, Musa Mateja ‘Toz’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba au Mzee wa Mji Kasoro Bahari’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX 100’ na Mpigapicha Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana na Mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya gazeti hili, Bamaga- Mwenge, jijini Dar.
Saa 3:14 usiku


BWANA HARUSI APATWA NA UCHIZI SHEREHE IKIENDELEA
Mkuu akiwa ofisini anamaliza kunywa supu ya utumbo, anafuta mustachi, anabonyeza kizenji batani za simu yake ya kisasa na kumtwangia Mkude Simba.



Aliyekuwa kiungo wa timu ya Simba SC Christopher Alex Masawe aliyefariki dunia leo juzi saa 3 Asubuhi katika hospitali ya Milembe mkoani Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu anatarajiwa kuzikwa kesho.

Kwa mujibu wa mama yake mzazi aliyekuwa akimuuguza, maziko yatafanyika kesho siku ya Jumanne.


Nimekutana na huyu dada anaomba ushauri kwa Joyce Kiria

Miaka 3 ilopita nimekuwa katika matatizo makubwa sana.....nawashwa sana sehemu za siri (uken). nilienda baadhi ya hospitali wanasema ni fungus nikatumia dawa baada ya wiki tatizo likajirudia. Nimekuwa mtu wa kujikuna wakati wote. Ukeni panawaka moto kwa kujikuna, nimeendelea na tiba mpaka likaibuka tatizo jingine . kila ninapofanya tendo la ndoa napata maumivu ambayo hayaelezeki wakati mwingine mpaka naanza kubleed.

Kurudi tena hospitali wakasema nipime vipimo vya kansa lakini tatizo likazidi kuongezeka na sasa siwezi hata kufanya tendo la ndoa. madaktari ktk vipimo wakagundua kwenye uk-e kuna wekundu mwingi sana badala ya rangi ya pink. 
Kumbe ile rangi nyekundu ni sehemu ambayo imeshambuliwa na bacteria wasiosikia dawa. Wakajaribu kupeleka dawa sehemu iliyoathirika bado ikashindikana kuwaua!


Uteuzi wa Makonda ni fimbo kwa mafisadi.Asibezwe anaweza.

Anaitwa Paul Makonda.Ni Katibu wa Hamasa na Chipukizi wa Uvccm.Kijana mdogo mwenye ujasiri wa kipekee asiyeogopa kejeli,dharau na fitna za mafisadi.Kwasasa ndio Mkuu wa wilaya ya Kinondoni.

Jamii ya wenye akili inashangaa wanaobeza uteuzi wa rais kwa Paul Makonda.Inawashangaa wanaomponda Paul Makonda.Haijajulikana hadi sasa nia na sababu zenye mashiko zinazotumika kumchafua Paul Makonda.Vijana wanaombeza ndio haohao wanaoomba kila siku kuwa vijana wapewe nafasi katika vyombo vya maamuzi.
China Cyber
China na Sheria zao, Serikali ya nchi hii ni moja kati ya chache ambazo zimekuwa mstari wa mbele kwenye utekelezaji wa chochote kile ambacho watakiamua, kwa wakati wowote na kwa njia yoyote.
Moja ya stori za mwisho mwisho kusikika kutoka China ni ishu ya kila mtu kutakiwa kujisajili kwenye mitandao ya kijamii kwa majina yote halali yani, yale ambayo yanatambulika kwenye cheti cha kuzaliwa au passport hivi.

mgobaKiongozi wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba, amelazwa katika Hospitali ya Amana, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na kisha kuteswa na watu wasiojulikana.

Mgoba ni miongoni mwa vijana waliowawakilisha wenzao zaidi ya 300 kukutana na viongozi wa juu wa Serikali hivi karibuni, akiwemo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuzungumzia kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya Jeshi. 
Tukio hilo ambalo kwa kiasi kikubwa linafanana na kile alichofanyiwa Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka au Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, lilimfika Mgoba Jumatatu wiki hii saa 11:00 jioni.

Mgoba, ambaye analindwa na vijana wenzake waliomaliza mafunzo ya JKT katika wodi namba saba aliyolazwa, anadai kufanyiwa vitendo vya kinyama ikiwa pamoja na kuchomwa sindano ambayo haijulikani aina ya dawa iliyokuwa nayo.

MTANZANIA Jumamosi lilifika katika Hospitali ya Amana ambako pamoja na mambo mengine, lilifanikiwa kuzungumza na Msemaji wa vijana hao, Omary Bakari, ambaye alisema alipokea simu saa nne siku ya Jumatatu hiyo hiyo ikimtaarifu kuwa Mwenyekiti wao, Mgoba, amelazwa katika Hospitali ya Tumbi, iliyoko Kibaha, mkoani Pwani.

  Tasnia ya filamu Afrika inakuwa kila siku kiasi kwamba zile ndoto za kufanya kama wenzetu wa Hollywood (Marekani) na Bollywood (India) huenda siku moja zikatimia.
Kama ilivyo Hollywood na kwingine kwenye waigizaji wa kike wenye mvuto, wapo pia waigizaji wa kike Afrika ambao ni ‘visu’.Leo hii ikihitajika Top 10, kila mmoja atakuwa na yake lakini mtandao wa umefanya kazi ya kuorodhesha waigizaji 10 wa kike wenye mvuto kama ifuatavyo;

10. Elizabeth Michael ‘Lulu’

Binti huyu ana umri wa miaka 21 lakini ni mrembo na anayejiamini. Ni binti kutoka Tanzania mwenye kipaji cha kuigiza kiasi cha kuwa tishio kwa wakongwe. Ni kweli huwa anatumia ‘make up’ lakini hata akiwa hajatumia wala kuvaa ‘mawig’, bado anaonekana ni mwenye kuvutia.

9. Omotola Jalade Ekeinde.


Kila mmoja atakubaliana na mimi kwamba mahusiano baina ya wapendanao kwa kawaida yanakusudia kuwa ya upendo, maelewano, kuaminiana na urafiki wa hali ya juu ingawa hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa wengi.  Wengi wetu wameumizwa kwa mapenzi. Inawezekana mara moja au nyingi na hasa kutokana na tatizo la uaminifu katika mahusiano yao.
Zifuatazo nia alama zitakazokusaidia kuwa macho mara utakapoona mazingira ya kufanana nazo yanatokea katika uhusiano wenu.
1.Kuongezeka ghafla kwa hali ya kujipenda.


 Wakati joto la urais likizidi kupanda ndani ya CCM kutokana na hofu ya baadhi ya majina mazito ya wagombea wa nafasi hiyo kukatwa kwa mizengwe, vita vya wagombea sasa ni dhahiri baada ya mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kusema hakuna mtu atakayekatwa bila ya sababu za msingi.
Mjumbe huyo, Sadifa Juma Hamisi, ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), pia alisema umoja huo haujafikia uamuzi wala kumtuma mtu kumdhibiti mwanachama anayetajwa kuwania urais.
Katika siku za karibuni kumekuwapo mjadala mkubwa ndani ya CCM juu ya mtu atakayepitishwa kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho, na ilizidi baada ya Rais Jakaya Kikwete kueleza kuwa mwanachama ambaye atateuliwa na CCM kugombea urais hayumo miongoni mwa waliojitokeza na kuwataka wanachama kuwashawishi watu wenye sifa wajitokeze.
Siku chache baadaye, Dk Raphael Chegeni aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa ametumwa na wanachama wa CCM wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kwenda kumshawishi Lowassa kujitokeza kuwania urais kuitikia wito wa Rais Kikwete wa kuwataka wanachama kuwashawishi watu wenye sifa kujitokeza.

Thursday, February 19


Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni.
 
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.
 


Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Joseph amejikuta akiaibika vikali kufuatia kudaiwa kunaswa akiwa na mwanamke mwingine ilhali yeye ni mume wa mwanamke aitwaye Sophia.

Kwa mujibu wa mashuhuda, aibu hiyo ilimkuta Joseph, Februari 14, mwaka huu (Siku ya Wapendanao Duniani) kwenye Kitongoji cha Nyihongo wilayani Kahama, Shinyanga wakati wadau mbalimbali walikuwa kila mtu na wake.
 
Mashuhuda waliliambia Amani kwamba, Joseph ni fundi ujenzi na siku ya tukio alinaswa kwenye nyumba inayojengwa na yeye lakini ikiwa bado kumalizika.


WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Jiji kwa tuhuma za kununua machangudoa katika eneo la Buguruni Rozana jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa hao waolifikishwa Jumanne ya wiki hii katika mahakama hiyo ni Antidius Severian (25), Yaham Mihamed (24), Ally Hassan (35) na Mohamed Hamis (27).

Mapenzi Moto moto ya Mwanamuzi Diamond kwa Mpenzi wake mpya bado yanaendelea ku make headlines baada ya kumnunulia Pete na Cheni ya mkononi Zari the lady boss , Kama picha inavyoonyesha hapo zote ni za dhahabu pure ila gharama zake hatukuweza kujua kwa haraka ...

Zari Ameweka picha hiyo na kuandika maneno haya ..Woke up to some 24 carat eish. Thank you Boo, xoxo...#QueenTingz..



This is Aghata titti, She is well known for her charming beauty, linguistic prowess and sexy curves. The sexy anchor works at
Uganda’s NBS Tv and she keeps viewers glued to their screens

indian-wedding-bridal-lengha-detailed-traditional 
Bi harusi mmoja kaskazini mwa India, alijikuta kwenye wakati mgumu siku ya ndoa, kisa ni  ugonjwa wa mume wake mtarajiwa ambao yeye hakujua kama bwana huyo anaumwa.
Haikuwa siku nzuri kwa bwana harusi, ana tatizo la ugonjwa wa kifafa na tatizo hilo likamkuta siku ya ndoa yake na bibie Indra.
obassss
Ukiwa kiongozi kwenye nafasi yoyote lawama huwezi kuzikwepa, tumesikia wananchi wakilalamikia matumizi mabaya ya fedha yanayofanywa na viongozi, hizi lawama haziko bongo peke yake kuna hii kwenye headlines za India.
Waziri mkuu wa India Narendra Modi kununua suti ya gharama ambayo aliivaa kwenye mapokezi ya Rais Barack Obama alipotembelea India mwezi January nayo imekuwa ishu! headlines za vyombo vya habari India zimeandika kuhusu wananchi kulalamika gharama za suti hiyo, eti wanadai gharama haziendani na maisha ya wananchi wanavyoishi.

Tuesday, February 17

Ikiwa ni couple inayozungumziwa na kufuatiliwa zaidi kwenye bongo fleva, Diamond  na Zari the boss lady walitumia siku ya wapendanao visiwani Zanzibar kwa kula #GoodTime sehemu tofauti. Zari na Diamond walionekana kwenye sehemu marufu ya chakula kitamu cha Zanzibar #Forodhani wakichagua vyakula tofauti ikiwa ni mara ya kwanza Zari anafika Zanzibar.

Hizi picha zao pamoja weekend hii.
dv 1
dv 2
dv 3

 Rihanna amejiunga na jarida la W Korea kusheherekea miaka kumi ya jarida hilo. Rihanna ametokea kweny kurasa ya mbele ya jarida hilo kwenye toleo la mwezi wa tatu mwaka huu.
rihanna-w-korea-2 rihanna-w-korea-3 rihanna-w-korea-4

Mrembo na muigizaji wa filamu, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto mmoja amezibandika picha hizi kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa maeneo ya ufukweni mjini Bagamoyo.
Mbali na ukweli kuwa hapa amevalia nguo za ufukweni, mahabiki wengi wamemshabulia kuwa..

Ndoa BankokMiongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand.
Ndoa Bankok
Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao.
Ndoa Bankok
Ndoa Bankok

 

Askari wakiwa kwenye mapango ya Amboni Tanga juzi walipokuwa wakiwasaka watuhumiwa. 


Tukio la kurushiana risasi kati ya polisi wakishirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi au magaidi limeacha maswali 10 muhimu yanayolifanya lionekane lenye utata.

Mpaka sasa hakuna taarifa za kina juu ya tukio hilo lililotokea siku nne zilizopita na kusababisha kifo cha mwanajeshi na wapiganaji wengine zaidi ya sita ambao hawajajulikana kujeruhiwa.

Serikali imetoa taarifa rasmi kuhusu uhalifu uliotikisa mkoani Tanga, ikisema hali ni shwari na umma wa Watanzania upuuze taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikitia hofu.

Aidha, imesema  watu kadhaa wanashikiliwa wakihusishwa na uhalifu huo.
 
“Tunawashikilia ila mpaka sasa siwezi kukueleza idadi yao na kwamba ni wa kikundi cha ugaidi au la. Hao watu tunafanya nao mahojiano ili kuweza kuelewa kama wanahusika kwenye tukio hilo,”  alisema Kaimu Kamanda wa Polisi  wa Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki.

eCe II
Jerry Muro.
Leo February 16 kwenye show ya Mkasi kulikuwa na Interview na Mwandishi wa Habari Jerry Muro, mengi kayazungumzia ikiwemo kuhusu familia, kazi yake na kesi za rushwa, pamoja na mapenzi yake na timu ya Yanga yalikoanzia.
Alichokijibu kwanza kuhusu familia; “Nna mke.. watoto hapana, ni suala la muda na wakati kujipanga. Hawa ambao wana watoto sasa hivi hawakukosea lakini hata ukiangalia mfumuko wa watoto wengi Panya Road wametoka wapi. Mtoto akipatikana kwa wakati sahihi na ukimleta duniani kwa malengo sahihi hawezi kwenda kuwa Panya Road
image130 
Mhubiri mmoja huko Brazil, Alex Novais de Brito aliyekuwa akifanya mahubiri kwenye mazishi ya muumini wake amejikuta akishindwa kumaliza ibada hiyo baada ya udongo wa kaburi kudidimia na kufanya Mchungaji huyo na waumini wengine watatu kudumbukia kwenye kaburi.

Hilo lilitokea kwenye makaburi ya Campo da Esperanca wakati kukifanyika ibada ya mazishi.
Watu wawili walipelekwa Hospitali ya jirani ili kutibiwa majeraha madogo waliyoyapata baada ya kuanguka, 
watu walichanganyikiwa baada ya kutokea tukio hilo, Mhubiri huyo alijikuta kwenye wakati mgumu na kushindwa kumalizia ibada.

 

aliyekuwa rais wa serikali ya wanafunzi bwana Ramadhan Kirungi anashikiliwa na Polisi Kituo cha Selander Bridge baada ya kudokoa kiasi cha shilingi 31 Milioni kwa kufoji saini ya Dean of students.

Wizi huo uligunduliwa na makamu wake wa Rais ndugu Godfrey Modest (Pichani na Mheshimiwa Rashid) ambaye sasa anachukua nafasi ya Urais wa COBESO.

Baada ya polisi kufanya upekuzi nyumbani kwa mtuhumiwa, kiasi cha milioni 16 na ushee zilikutwa ndani kwake.


 
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Sunday, February 8

ENDAPO ulinzi binafsi na wa kazini hautaimarishwa kwa majaji, uwezekano ni mkubwa wa watu wabaya kuwavamia ofisini na kuwapiga risasi kwa sababu ya hukumu zao za kunyonga au kufunga watu jela maisha, Risasi Jumamosi limebaini.
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam. 
Hilo limekuja kufuatia chanzo kimoja toka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kupiga simu kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers na kusema anasikitika kuona majaji, licha ya kutoa hukumu nzito zinazowaumiza watu lakini  hawana ulinzi wa maisha yao.
Knife 
Inapotokea hali ya kutoelewana katika uhusiano ni mara chache sana wote wawili kukubali kwamba uhusiano huo ufike mwisho, lakini mara nyingi mmoja yao huwa hakubaliani kirahisi na uamuzi huo.
Mwanamke mmoja China, Azuha Kikuchi amekamatwa baada ya kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Yuji Hirata ambaye walikuwa wanaishi jengo moja kwa kumchoma kisu kifuani.


Katibu mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde.PICHA|MAKTABA 


 Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.

Katibu mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde aliliambia gazeti hili wiki hii kuwa “usahihishaji umekamilika na baraza lipo katika uchambuzi wa kuyapanga na tutakapokamilisha tutayatangaza”.

Alipoulizwa ni lini hasa matokeo hayo

Tuesday, February 3

NI shida! Wakazi wa Mlandizi mkoani Pwani mwishoni mwa wiki iliyopita walijikuta wakishinda nje ya nyumba moja ya kulala wageni iitwayo Kilimahewa Guest House baada ya kuwepo taarifa za watu wawili, mtu na mpenzi wake kunatana baada ya kudaiwa kufanya mapenzi majira ya asubuhi.

Mwananchi akitumia tochi kuwasaka uvunguni.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, taarifa za kuwepo kwa tukio hilo zilisambaa kwa kasi na chanzo chake kinadaiwa ni mwendesha pikipiki mmoja aliyetoa habari hizo.

1. Kutengeneza Kibanda Cha Mapumziko Kama Hiki http://www.butterbin.com/wp-content/uploads/2014/06/643870_217399331734443_128170240_n.jpg


 Kutengeneza Vizibo Vya Kufungia Bidhaa Kama Vyakulahttp://www.butterbin.com/wp-content/uploads/2014/06/563_174316926042684_698741285_n.jpg




http://www.butterbin.com/wp-content/uploads/2014/06/563_174316926042684_698741285_n.jpg
 Kupandia Maua


http://www.butterbin.com/wp-content/uploads/2014/06/545258_318727081601667_364690196_n.jpg
-