Kampeni za Urais, mgombea wa Urais wa Tanzania
anayeiwakilisha UKAWA kupitia
Pamoja na kuwepo kwa barua hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa Ilala, Umoja wa
wadai Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesisitiza kuwa ratiba ya mkutano wao
utakuwa kama walivyopanga, eneo, muda na tarehe ile ile.
Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, James Mbatia aliwaambia waandishi wa habari kuwa serikali imekataa ombi lao la kufanyia mkutano kwenye viwanja vya Jangwani bila ya kuwa na sababu za msingi.
Mbatia amesema waliandika barua ya 22 Agosti, 2015 kutumia viwanja vya Jangwani lakini mkurugenzi amewazuia kutumia viwanja hivyo kwa madai kuwa tayari umeshalipiwa na mtu mwingine, ambaye hakutaka kumtaka kwa sababu zao binafsi.
Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, James Mbatia aliwaambia waandishi wa habari kuwa serikali imekataa ombi lao la kufanyia mkutano kwenye viwanja vya Jangwani bila ya kuwa na sababu za msingi.
Mbatia amesema waliandika barua ya 22 Agosti, 2015 kutumia viwanja vya Jangwani lakini mkurugenzi amewazuia kutumia viwanja hivyo kwa madai kuwa tayari umeshalipiwa na mtu mwingine, ambaye hakutaka kumtaka kwa sababu zao binafsi.