Lagos, Nigeria MWIGIZAJI wa
kike wa Ghana, Yvonne Nelson, amesema wiki kadhaa zilizopita katika
mahojiano kwamba mwanamuziki wa Nigeria, Iyanya, ndiye mtu kwa kwanza
ambaye aliuvunjavunja zaidi moyo wake kwa penzi kubwa ambalo
alilolionyesha kwake.
Hata hivyo, mwanamuziki huyo alipofanya mahojiano na kituo cha televisheni cha MTV, alisema japokuwa kweli alikuwa na uhusiano motomoto na Yvonne Nelson, lakini hakuwa mtu wa kwanza kumpagawisha kimapenzi.
Hata hivyo, mwanamuziki huyo alipofanya mahojiano na kituo cha televisheni cha MTV, alisema japokuwa kweli alikuwa na uhusiano motomoto na Yvonne Nelson, lakini hakuwa mtu wa kwanza kumpagawisha kimapenzi.