Okey. Betty alikua schoolmate wangu Majengo
sekondari, baadae akaenda UDOM nami SAUT.
Nimeona baadhi ya maswali yaliyojitokeza na possibly Kuhusu alipookotwa Betty ni Mikocheni. Kuhusu utaratibu wa kuagwa ni LEO Muhimbili, kuhusu maziko yatafanyika Dodoma. Kuhusu waliokua wanamharass kwny social media ni pamoja na Diva wa Clouds fm (nimeattach post ya Diva inayoonesha as if kafurahia kifo cha Betty).
Kuhusu umaarufu alikua mwanamitindo wa Swahili fashion together with Mustapha Hassanali na Jokate Mwegelo. Na ofcoz alishaanza kuwa maarufu kwny hayo mambo ya mitindo.
Anyway kama mnataka kujua umaarufu wake alikua mwanamitindo wa Swahili Fashion na partners wake wakiwa Mustapha Hassanali and Jokate Mwegelo.
Waliouliza may be sio wafuatiliaji wa masuala ya fashion ndo maana hawamjui, but wengi
Nimeona baadhi ya maswali yaliyojitokeza na possibly Kuhusu alipookotwa Betty ni Mikocheni. Kuhusu utaratibu wa kuagwa ni LEO Muhimbili, kuhusu maziko yatafanyika Dodoma. Kuhusu waliokua wanamharass kwny social media ni pamoja na Diva wa Clouds fm (nimeattach post ya Diva inayoonesha as if kafurahia kifo cha Betty).
Kuhusu umaarufu alikua mwanamitindo wa Swahili fashion together with Mustapha Hassanali na Jokate Mwegelo. Na ofcoz alishaanza kuwa maarufu kwny hayo mambo ya mitindo.
Anyway kama mnataka kujua umaarufu wake alikua mwanamitindo wa Swahili Fashion na partners wake wakiwa Mustapha Hassanali and Jokate Mwegelo.
Waliouliza may be sio wafuatiliaji wa masuala ya fashion ndo maana hawamjui, but wengi