Tuesday, April 29

ney 
April 14 zilizotoka taarifa juu ya kutekwa kwa msichana mmoja aitwae Neema ambaye ni miongoni mwa watu wanaosemekana walimtukana Ney na Mpenzi wake kupitia akaunti zao za Instagram,Neema alipatikana na kuzungumzia hii bahati mbaya Ney hakuwa nchini aliporudi Soud Brown kaongea nae na hiki ndicho alichokisema.
Ney ameanza kwa kusema>>’Mimi sijawahi kuteka mtu,zamani labda muda mrefu wakati wa maisha ya kimtaa zile vurugu za kimanzese manzese lakini kwa sasa mimi siwezi kuthubutu kumteka mtu kanifanya nini,maisha ya kizamani hivyo vitu vilikuwa vinatokea lakini kwa sasa siwezi kusema nimemteka fulani’
‘Mimi ni Star naanzaje kufanya hivyo huyo
   TZA AFISA WA POLISI KENYA 
taarifa kutoka Kiambu Kenya ambapo hisia tofauti zimetolewa kuhusiana na picha ya askari wa kike wa usalama barabarani iliyofanya mabosi wake kumkemea.
Sababu kubwa ni picha ya Trafiki huyo aliyekua amevalia sketi fupi iliyombana huku akiongoza doria wakati wa mashindano ya magari katika kaunti ya kiambu ilisababisha picha iliyopigwa na mwanahabari wa gazeti moja nchini Kenya kuzua mjadala kwenye mitandao ya kijamii Redioni na Televisheni nchini Kenya.
Linda Okello ni afisa wa trafiki mwenye cheo cha koplo
KAVUMBAGUNEW 
Klabu ya Azam FC imeanza rasmi maandalizi ya kutetea ubingwa wao msimu ujao na michuano ya kimataifa kwa kukamilisha usajili wa mchezaji wa kimataifa wa Burundi aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Yanga.
Taarifa rasmi zilizothibitishwa na meneja wa Azam FC Jemedari Said ni kwamba mshambuliaji Didier Kavumbagu amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja.
“Ni kweli Kavumbagu tumemalizana nae na amesaini mkataba wa mwaka mmoja. Taarifa zaidi zitatolewa baadae.” Alikaririwa Jemedari.
1 
Imeripotiwa watu 55 waliokuwa ndani ya basi la kampuni ya Hood wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha wamenusurika kufa baada ya basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele, Chalinze mkoani

Monday, April 28

Jay Z ameripotiwa kumwambia rafiki yake wa karibu kuwa yeye na mkewe Beyonce Knowles na mtoto wao hawatahudhuria katika ndoa ya swahiba wake Kanye West itakayofanyika mwezi ujao jijini Paris Ufaransa

Sababu za kutohudhuria ndoa hiyo zimeelezwa kuwa ni kutokana na tukio hilo kupangwa kuoneshwa kwenye reality show ya Keeping Up with the Kardashians.

Hata hivyo, chanzo kimeliambia gazeti la The Sun kuwa Jay Z amepanga kuwafanyia party kubwa baada ya
8 
Inawezekana raia wengi wa Tanzania tulikua hatujui nguvu ya jeshi letu la Wananchi,vifaa vyake pamoja na matumizi ya vifaa hivyo hasa inapotakiwa kuvitumia,April 26 Tanzania tulikua tukitimiza miaka 50 ya Muungano wetu kati ya Zanzibar na Tanganyika na kuzaliwa kwa Tanzania.
Miongoni mwa vitu ambavyo vilivyovuta hisia za wengi ni namna vifaa vya Jeshi la Wananchi vilivyokuwa vikipita huku MC akitoa maelezo ya kila kimoja,hizi ni baadhi ya picha za vifaa hivyo vya JWTZ.
12
10

wachezaji  tmu ya LA Clippers wavua jezi zao na kuzibwaga katikati ya uwanja dakika chache kabla ya kuanza game yao dhidi ya Warriors, kupinga kauli ya kibaguzi ya mmiliki wa timu hiyo, Donald Sterling.
Baada ya kauli ya kibaguzi ya mmiliki wa timu ya kikapu ya LA Clippers Donald Sterling ku-make headline,siku ya jana, wachezaji wa timu hiyo ambao wengi wao ni watu weusi, walionyesha kuudhika na kupinga kwa kauli hiyo kwa kuvua jezi zao na kuzitupa katikati ya uwanja na kubaki na jezi za warmup wakiwa wamevaa nje ndani kuficha nembo ya timu yao inayokaa katikati ya vifua vyao.

 Jana ilikua ni siku ya furaha kwa msanii “Tiwatope Savage” maarufu kama ‘Tiwa Savage’ ambae alifunga ndoa na mme wake “Tee Billz” ambae walikua wachumba kwa muda mrefu. Kabla hawajawa wachumba Tee alikua na meneja wa Tiwa msanii huyo kutoka nchini Nigeria. Ndoa yao imefanyika Dubai na ilihudhuliwa na watu maarufu peke yake.

Katika sherehe waliyofanya usiku wa jana msanii ‘Bank W’ aliwazawadia gari jipya wanandoa hao. Unaweza tazama picha za kilichojiri katika harusi hiyo.
Gari Waliyopewa Kama Zawadi
Mchezaji wa timu ya Barcelona Dani Alves, arushiwa ndizi akiwa uwanjani na kuitwa nyani na baadhi ya mashabiki waliokuwa uwanjani katika mechi iliyochezwa jazi usiku dhidi ya Villarreal
Baada ya mmiliki wa timu ya kikapu ya LA Clippers, Donald Sterling, kumwaga kauli za kibaguzi zilizosababisha reaction kutoka kwa watu mbali mbali akiwemo Raisi Obama, jana nimeshuhudia aina hiyo hiyo ya ubaguzi kutoka kwa mashabiki kwenda kwa mchezaji wa timu ya Barcelona "Dani Alves".
Dar es Salaam, Tanzania. Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine.
Ndiyo maana haishangazi kuona kwamba, hata leo hii ukiingia katika soko la filamu zilizo juu, huwezi kukosa kazi za nyota huyo. 

Kwa sasa, JB, mtu mwenye umbo la miraba minne licha ya kucheza filamu ni mwandishi wa filamu na mtayarishaji, anatamba na ‘Illegal Sisters’, ‘Signature’, ‘Tanzanite’ na ‘Msamaha wa Rais’, Nakwenda kwa mwanagu, Dereva tax D.N.A na nyingine nyingi. 
Katika mahojiano na tovuti hii hivi karibuni, JB anasema kwamba, ana kila sababu ya kujivunia mafanikio yake, ingawa hawezi kuvimba kichwa kwa umaarufu, huku akisisitiza alianza kuigiza kama mzaha na baadaye taratibu fani ikamkolea na kuigeuza sehemu ya maisha yake. 

Anasema kwamba, alikuwa `anaburuzwa’ na rafiki yake, Single Mtambalike ‘Richie Richie’ ajiunge na kundi lao la wasanii wanne lililoitwa Four For You ambalo mbali ya Richie, wengine walikuwa Anna Costantine `Waridi’, Allen Raymond `Bishanga’ na Aisha. 



Baraza  la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astashahada na stashahada ya utabibu na ualimu, watatakiwa kuomba katika mfumo wa pamoja wa mtandao wa Central Admission System (CAS) na siyo vyuoni kama ilivyozoeleka.
Katibu Mtendaji wa Nacte, Dk. Primus Nkwera, alitoa taarifa hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya maazimio mbalimbali ya kikao cha 56 cha baraza hilo.

Alisema miaka ya nyuma wanafunzi wa utabibu na ualimu waliotaka kujiendeleza kimasomo, waliomba moja kwa moja vyuoni hali ambayo ilisababisha kuwapo kwa mgongano wa wanafunzi na huku baadhi vikidahili wasio na sifa.

“Mfumo huo utatuwezesha siku ya mwisho ya kuomba waweze kutoa majina waliochaguliwa ili kusiwe na mwingiliano na zoezi hilo litafanywa na Nacte...tumefungua maombi hadi Julai 31, mwaka huu,” alifafanua.

Alisema udahili wa wanafunzi kwa ngazi ya astashahada, stashahada na shahada, umeanza Baraza limetoa usajili wa muda mfupi na mrefu kwa vyuo mbalimbali 17.

Alisema usajili wa kudumu umetolewa kwenye vyuo sita huku usajili wa wa miaka mitano kituo kina uwezo wa kuendesha mafunzo.

Dk. Nkwera alisema usajili wa muda ambao ni wa miaka miwili umetolewa kwa vyuo 11, huku Nacte ikiandaa mitaala 17 itakayotumika kwenye vyuo mbalimbali ili kuepuka kwa vyuo kuwa
KUNA watu uhusiano wao unawaka moto kwa migogoro ya kila siku. Wengine ni marafiki kwa maana ya wapenzi lakini pia kuna wanandoa ambao nyumba zao zinayumba.
Wanatumia muda mwingi kuzungumzia migogoro badala ya mambo mengine ya msingi katika ndoa yao. Kuungana katika ndoa kunamaanisha kusaidiana. Mwanamke anakwenda kuwa msaidizi wa mwanaume wake. 

Kukikosekana amani maana yake kila mmoja atakuwa kivyake; kama ndivyo, maendeleo kwenye familia yatatokea wapi?
Ndugu zangu, WANAWAKE NDIYO MSINGI WA MAFANIKIO KATIKA NDOA. Hata kama baba anatafuta kiasi gani kama hatakuwa na mwanamke ambaye anampa amani, ni wazi kwamba  fedha anazosaka zitapotea!
waziri 
Baada ya ajali ya meli huko South Korea serikali ilikosolewa kwa jinsi ilivyodili na ajali hiyo. Meli hiyo ilivyozama sehemu kubwa ya abiria walikuwa ni wanafunzi na watu kama 100 hawakupatikana.
Kwenye hatua za ukoaji zilitumika meli 34 na helicopter 18 na njia nyingine lakini pia ukosoaji kwa serikali ulikuwepo. Kutokana na hilo waziri mkuu Chung Hong-won ametangaza kujiuzulu baada ya wananchi kutoridhishwa na utendaji wa serikali kwenye hili tatizo.
Chung Hong-won aliwahi kuzomewa na kurushiwa chu

suarez 
Hadi sasa Luis Suarez ameshafunga magoli 30 kwenye ligi ngumu ya uingereza na kuisaidia timu yake ya Liverpool kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuwania ubigwa wa ligi hiyo.
Suarez anakuwa mchezaji wa pili kutoka Liverpool kushinda award hiyo na kama wakifanikiwa kuwa mabingwa itakuwa ni mara ya kwanza tangu miaka 24 ipite.
Mchezaji mwingine aliyeshinda award ni Eden Hazard

Aliyekuwa mwakilishi wa mara mbili kutoka Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwampamba ataonekana hivi karibuni kwenye kituo cha runinga cha

Saturday, April 26

Mugshot of Rachel Udoba





Mtangazaji wa Radio One  INAYOTANGAZA MATANGAZO YAKE KWA LUGHA YA KIZUNGU KWA MASAA 24 KWA WIKI
    Screen Shot 2014-04-24 at 11.10.49 AM
Vince Reffet and Fred Fugen ndio wameivunja hii rekodi kwa kujitosa kuanzia juu ya jengo refu zaidi duniani kwa sasa liitwalo Burj Khalifa lenye gorofa 1

Kenya's Supreme Court judges file into the chamber during the opening of the 11th Parliament in Nairobi 
Sheria mpya inatengenezwa Kenya sheria hiyo itawataka wanaowazungumzia wakuu wa serikali kufanya mazoezi ya kutosha kwani sheria hii ikipitishwa basi inamaana kwamba Rais,Naibu wake na wake zao pekee ndiyo watakao pewa jina Mtukufu au His/Her Excellency.
Unaambiwa yeyote atakaye kosa kuzingatia hilo adhabu yake atafungwa mwaka mmoja Gerezani au kutozwa faini ya shilingi milioni moja pesa za Kenya sawa na dola elfu 12 za Marekani.
Yeyote atakaye vunja sheria ya kukosa kumuita Mbunge kwenye bunge la kitaifa Mheshimiwa au Honorable
WENYE MSIMAMO

Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, walio makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. 
 
WAPENDA USAWA
 Aina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50. 
Imefahamika kwamba Shilla msichana wa kibongo aliyeko Rumande huko London/UK

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono 
wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika
 kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na
 nje ya nchi.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la Jeshi la wananchi kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanzania.

 Kikosi cha Makomandoo kikipita kwa mwendo wa

Mbunge Teddy Ladislaus Patrick (21), ndiyo mbunge mdogo kulioko wote katika bunge maalum la katiba linaoendela na vikao vyake mkoani Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mh. Samuel Sitta

Monday, April 21

Screen Shot 2014-04-21 at 1.14.02 PM 
Daphne Joy mrembo anaeonekana kwenye picha mbili za mwanzo ni baby momma wa 50 Cent ambae mwaka jana 50 alidaiwa kumfanyia fujo nyumbani kwake Los Angeles Marekani.
Baada ya ugomvi huo kutokea unaambiwa 50 Cent ameanza kutoka kimapenzi na mrembo Tatted Up Holly ambae ndio amecheza kwenye hii video mpya ya 50 Cent na Treysongz hapa chini inaitwa ‘smoke’ ambae anaonekana pia kwenye hizi picha za chini.
Daphne alishea hizi pichaz weekend pamoja na picha ya mtoto mwingine wa 50 Cent ambae hakuwahi kujulikana kwenye media kabla. Screen Shot 2014-04-21 at 1.14.12 PM
 
Mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’

MALOVEE? Bosi wa Top Band, Khaleed Mohamed ‘TID’ au ‘Mzee Mnyama’ na mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’, wanadaiwa kuwa na uhusiano uliotafsiriwa ni wa kimapenzi, Ijumaa Wikienda limeinusa.
Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja sehemu mbalimbali huku wakidaiwa kupiga ‘mitungi’ kiasi cha kushindwa kuzificha hisia zao.
 
Staa wa Bongo Muvi, Kajala Msanja katika pozi.

Maisha yanabadilika kwa spidi ya ajabu ndiyo maana ukweli wa leo unaweza kuwa uongo wa kesho!
Kwa kitambo kirefu mastaa wawili wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja na Wema Isaac Sepetu walikuwa kama kumbikumbi. Marafiki wa kufa na kuzikana. Sasa mambo yamebadilika.
Walizoea kulala hadi kitanda kimoja. Walikula na kunywa, walifanya kazi pamoja. Jioni walikwenda kujirusha pamoja.


 
Kajala Masanja na Wema Sepetu.

KAMBI ZAIBUKA
Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.

Polisi waligundua tukio hilo la kutisha na kuwakamata watuhumiwa Mohammad Arif Ali (35) na mdogo wake Mohammad Farman Ali mwenye miaka 30.

Kwa mujibu wa gazeti la mtandaoni la Dailymail, wanandugu hao wanaotoka katika mji mdogo wa Darya Khan wamewahi kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kula nyama za binadamu. Waliachiwa huru baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo mwaka jana.

Arif na Farman walikamatwa na kuswekwa rumande wakati uchunguzi ukiendelea, baada ya tukio hilo lililowavuta wengi na kutikisa tena eneo hilo.

Na Samwel Mwanga-Simiyu
 
WATU 10 wamekufa  papo hapo mmoja kufariki akiwa hospitali 
na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kufuatia
ajali mbaya ya Basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilaya
ni
Tarime mkoani Mara kuelekea Jijini Mwanza.
 
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa  kwa njia ya simu na Kamanda wa
Polisi mkoa wa Simiyu,Kamishina Mwandamizi wa Polisi(SACP)Charles
Mkumbo zinaeleza kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa 5:11 asubuhi
katika kijiji cha Itwimila wilayani Busega.
 
Alisema kuwa basi hilo lenye namba za usajili T 410 AWT liliacha njia
na  kugonga nyumba  ya Marehemu ,Mwalimu Lazaro Mbofu  na kuibomoa
yote na kisha kupinduka .
ddddddddddddddddddddd 
Wema Sepetu ameshinda shindano la Ijumaa sexiest girl ambalo liliandaliwa na Global Publisher na kushirikisha watu maarufu kama Lulu,Jokate,Nelly Kamwelu na Jackline Wolper.
Mwisho wa shindano Wema Sepetu ameibuka mshindi na tukio hilo liliambatana na show kutoka kwa Weusi na Mkubwa na wanae.
1
2
i3 
Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa.
Channel O ni kituo kinachobeba maudhui ya wasanii bora kwenye bara nzima la Africa na kupata airtime huko ni fursa tosha kwa msanii.
Hii ni video nyingine kutoka kwa msanii wa Tanzania iliyoanza kupata nafasi Channel O

Sunday, April 20


Well leo tumeamua ikuletee list ya watu 10 ambao now days wamekuwa maarufu kupitilizalakini umaarufu wao wote umetokana na mtu fulani inamaana bila fulani wasingekuwa maarufu na kuzungumzwa katika jamii tuliyopo. tuanze countdown yetu kwa kuanzia namba 1 hadi namba 10.
1. Agnes Masogange
Huyu alijipatia bahati ya kufahamika kwa kasi baada ya msanii belle 9 kumtumia kwenye nyimbo yake ya masogange ambayo Agnes alicheza kama Masogange, hadi Leo anafahamika kwa jina la masogange, ni kati ya watu wanaozungumzwa sana mitandaoni. Kesi yake ya madawa ya kulevya ilimuweka kwenye ulimwengu wa mastaa.
2. Romy Jones
Huyu jamaa ni ndugu wa Diamond. Amefahamika sana baada ya kuwa karibu na mwanamuziki Huyo, japokuwa ana maringo na nyodo kuzidi Diamond. Na yeye huyu sio mwanamuziki wala mcheza filamu.

3.Penny
 Mshiriki wa Tanzania Movie Talents akihojiwa mara baada ya kumaliza usaili katika Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea muda huu katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa uliopo Soko Matola Mkoani Mbeya  
Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwaajili ya kuhudhuria usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa usaili.
 

1.DIamond platinum
 Ukiachilia mbali wingi wa wasanii wanaofanya vizuri kwenye tasnia mbali mbali apa bongo, sio wote wanaobahatika kukubalika na kupokelewa vizuri na Jamii/mashabiki. Hawa ndio wasanii wenye mvuto zaidi na wanaoongoza kwa kupendwa na mashabiki.
Anaweza akawa sio muimbaji mzuri kama Alikiba au barnaba, ila haina ubishi huyu ndiye msanii wa kiume kwa upande wa bongo fleva anayeongoza kwa kupendwa zaidi na mashabiki, jina lake linazidi kukua siku hadi siku na kazi zake zinafanya vizur karibia east Africa nzima.

2. Wema sepetu
Screen Shot 2014-04-20 at 12.22.00 AM 
‘Finally I made the big move’ ni moja ya caption za picha alizoweka Producer huyu ambae mikono na akili yake vimetumika sana kuuinua muziki wa bongofleva toka inaanza enzi hizo na kina Juma Nature na wengine.
Screen Shot 2014-04-20 at 12.22.30 AM
-