Wednesday, January 29
Sunday, January 19
January 19, 2014
Unknown
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine.
January 19, 2014
Unknown
Katibu mkuu wa serikali ndugu ombeni sefue ametangaza baraza jipya la mawaziri kufuatia kujiuzulu kwa mawaziri watano na nafasi ya mgimwa aliyetangulia mbele za haki kevyclarity.blogspot.com inakujuza.
katika wizara ya raisi ikulu na wizara ya ofisi ya waziri mkuu hakuna mabadiliko yoyote.
katika wizara ya raisi ikulu na wizara ya ofisi ya waziri mkuu hakuna mabadiliko yoyote.
Friday, January 10
January 10, 2014
Unknown
AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa wakitoa dozi ya ngono linaweka historia nyingine, Ijumaa linaibumburua.
Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya ’masaji’ lakini kumbe ngono imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia.
Saluni hiyo maarufu kuliko Miji ya Sodoma na Gomora, ipo maeneo ya Sinza ambapo kwa muda mrefu sasa imekuwa ikijihusisha na uchafu huo na kusababisha kero kwa wananchi wenye maadili yaliyotukuka.
TAARIFA MEZANI
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, ikiwa imetulia ndani ya mjengo wa makao yake makuu, Bamaga-Mwenge jijini Dar, Mkuu wa kikosi maalumu cha Mtambo wa Kurekebisha Tabia (MKT) ambacho ni kitengo ndani ya OFM, alipokea simu kutoka kwa msamaria mwema akitoa ‘tipu’ juu ya ishu hiyo.
Mhudumu baada ya kumpatia dozi mteja.
Mtoa taarifa huyo alieleza malalamiko yake juu ya kero wanayoipata raia waishio jirani na saluni hiyo kufuatia huduma chafu za kuchukiza ambazo hufurahiwa na shetani na malaika wake tu.
Msamaria Mwema:
Wednesday, January 8
January 08, 2014
Unknown
HOFU ya kifo imetawala kwa mastaa Bongo ikiwa ni siku chache baada ya
gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita kutoka na habari ya utabiri wa
Hussein Yahaya, ikieleza kuwa mwaka huu vifo zaidi vitaendelea kwa
wasanii wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini na
wanasiasa.
Aunt Ezekiel.
kEVYCLARITY imepata kuzungumza na baadhi ya wasanii wa sanaa
mbalimbali Bongo na kueleza maoni yao kuhusiana na utabiri huo. Wa
kwanza kuzungumza alikuwa ni Single Mtambalike ‘Richie’ aliye msanii wa
filamu ambaye alisema:
Subscribe to:
Posts (Atom)