Kwa hapa Tanzania tumezoea show kubwa kama Fiesta tunaona mastaa wakubwa kama Rick Ross, Ludacris na wengine kwa kiingilio kisichozidi elfu 20 ambapo mwaka huu anashuka T.I October 18 lakini tukirudi kwenye show binafsi za Wasanii, kumbukumbu zangu zinaniambia Diamond na Mwana FA ni miongoni mwa waliowahi kufanya show zao wao wenyewe lakini viiingilio havikufika shilingi laki moja.
Tuesday, September 30
September 30, 2014
Unknown
Kwa hapa Tanzania tumezoea show kubwa kama Fiesta tunaona mastaa wakubwa kama Rick Ross, Ludacris na wengine kwa kiingilio kisichozidi elfu 20 ambapo mwaka huu anashuka T.I October 18 lakini tukirudi kwenye show binafsi za Wasanii, kumbukumbu zangu zinaniambia Diamond na Mwana FA ni miongoni mwa waliowahi kufanya show zao wao wenyewe lakini viiingilio havikufika shilingi laki moja.
September 30, 2014
Unknown
September 30, 2014
Unknown
Mtangazaji Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.
Wakati huu ambapo kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi, show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata nafasi Exclusive ya kuongea nae.
Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya sentensi alizoziongea Captain G kwenye Mkasi on EATV.
- Kwanza alianza kwa kuongelea jinsi alivyoingia kufanya kazi Redioni huku akimkumbuka Othman Njaidi aliemchukua na kumpeleka CloudsFM sio kama mtangazaji bali akajiunge na timu ya Marketing, akakutanishwa na Ruge Mutahaba aliekua General Manager wakati huo ambae alipoisikia tu lafudhi ya Gardner akasema huyu anafaa kuwa mtangazaji.
-
Staa aliefurahi baada ya kukutan
Friday, September 26
September 26, 2014
Unknown
SAFU hii mpya itakuwa yakutoa elimu kwa wasomaji. Wiki hii tunaanza
na baadhi ya mabinti wa marais wa Afrika ambao wanatikisa sana katika mitandao mbalimbalikutokana na sifa zao tofauti
AngePaul Kagame Ni binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa
mwaka 1989. Kwenye mitandao amekuwa akisifiwa kuwa ni ndiye binti mrembo
kuliko wengine.
September 26, 2014
Unknown
Labda inawezekana hii ikawa mara yetu ya kwanza kusikia upande wa pili wa President wetu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ambae tumezoea tu kumuona akihutubia, akijumuika na watu mbalimbali kwenye matukio ya furaha na huzuni lakini kuna mengine hatuyajui kuhusu yeye.
Mtoto wake Ridhiwani Kikwete ambae ni mbunge wa Chalinze ameongea kwenye Exclusive na millardayo.com na kueleza ni jinsi gani inavyokua pale ambapo baba yake anakasirika au anapokasirishwa akiw
September 26, 2014
Unknown
Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan,
amekanusha madai kuwa alimtoa kafara yake ambaye pia alikuwa
mwanamuziki mashuhuri nchini Ghana Castro.
Mwanamuziki huyo aliyekuwa anaiimba nyimbo za mtindo wa Afrobeats,
ambaye jina lake halisi ni Theophilus Tagoe, alitoweka pamoja na rafiki
yake Janet Bandu, mnamo mwezi Julai.
Wawili hao walitoweka wakati walipokuwa wamekwenda likizo na Gyan
ambaye alikuwa mchezaji wa zamani wa Sunderland, katika mji wa Ada.
Madai katika vyombo vya habari nchini Ghana yanasema kuwa kutoweka kwa
rafiki ya Gyan kumezua wasiwasi baadhi wakidai kuwa huenda alimtoa
kafara mwanamuziki huyo.
Thursday, September 25
September 25, 2014
Unknown
Chanzo kimeiambia TMZ kuwa Nick ambaye hivi sasa ni meneja wa Amber Rose amekanusha tuhuma hizo na kudai kuwa hajawahi kuchepuka na Amber na hahusiki kivyovyote na uamuzi wake.
Ameeleza kuwa alikuja kufahamu Amber Rose alikuwa na matatizo ya kifamili kupitia mwanasheria wake wiki iliyopita. Nick anasema baada ya kufahamu hivyo wawili hao walianza kushare masimulizi ya kuacha na kuachana.
Vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa Wiz na Amber Rose, kila mmoja anamtuhumu mwenzake kwa michepuko.
September 25, 2014
Unknown
Kikizungumza kwa kujiamini, chanzo makini ambacho kiliomba hifadhi ya
jina kilidai kwamba hakuna ndoa tena kati ya Diamond na Beautiful
Onyinye, Wema Isaac Sepetu na kwamba ndoa inayopangwa kwa sasa ni ya
Meninah na Diamond.
Chanzo hicho kilinyetisha kwamba wawili hao walikutana kwa mara ya
kwanza kwenye sherehe za utoaji wa Tuzo za Kili mwaka 2014 na tangu hapo
wamekuwa na ukaribu unaodaiwa unataka kuzaa ndoa.
WEMA AMWINDA
Ilisemekana kwamba baada ya Wema kuzinyaka habari hizo kuwa anataka
kunyakuliwa ‘beibi’ wake mbaya zaidi wanataka kufunga ndoa, malkia huyo
mkubwa wa sinema Bongo aligeuka mbogo na kuanza kuweka mikakati ya
kumteketeza Meninah asiweze kufunga ndoa na Diamond
September 25, 2014
Unknown
Star
wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari
kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo
wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa
hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini
kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke
nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia
kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku
wanazishindwa, mimi nishamaliza vyote" alisema Wolper akizungumza na
Globalpublishers pasipo kufafanua kama tayari ameshampata mchumba au la.
Monday, September 22
September 22, 2014
Unknown
Mimi ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao.
Nilizaliwa mkoa wa Dodoma na nilishi vizuri tu tangu utotoni na hata
sikujihusisha na ngono hadi nilipomaliza form 4 mwaka 2006 baada ya kumaliza nilikuja hapa Dar kuishi kwa mama mdogo aliyeolewa hapa Mwenge.
Nilipata marafiki wengi tu na kuna kijana mmoja alinitongoza kwa muda mrefu sana na siunajua vijana wengi hutumia muda mrefu kutongoza ili msichana unadhani kwamba labda huyo anakupenda kumbe anataka tu ngono na wadada wengi sana hudhani kufuatiliwa kwa muda mrefu na mvulana basi huyo yuko serious kumbe hakuna lolote.
Nilimkubalia tukawa wapenzi ila nilikataa kuhusu kufanya mapenzi maana anayekupenda kiukweli sio uongo lazima asitake ngono kabla ya ndoa.
Kwa miezi kama 5 hadi 6 aliniambia kuhusu kufanya mapenzi nilikataa alitumia mbinu nyingi sana kwa kunibembeleza na hata kulia mbele yangu ili tufanye tu mara moja ila nilikataa, alisema atavumilia hadi siku ya ndoa yetu ambapo tulipanga kuoana mwaka sept 2009.
Siku moja aliniambia twende kwenye kumbi za starehe na mimi kwa sababu ya upagani na kumwamini pia kwa sababu nampenda nilikubali tulienda huko na kulikua na bendi fulani maarufu ya mziki wa dansi ilikua inatumbuiza.
HUYU NDO MSHIRIKI MWINGINE MWANAMKE TOKA TANZANIA ANAYE KWENDA BIG BROTHER AFRIKA ANAITWA LAVEDA !!!
September 22, 2014
Unknown
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
. Washiriki wengine waliotajwa ni Kacey Moore kutoka
September 22, 2014
Unknown
MWANAMITINDO wa
Bongo aliyepo nyuma ya nondo huko Macau, Hong Kong nchini China
akitumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia ya kubeba
madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’
ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake.Akizungumza
na mwandishi wa gazeti hili, rafiki wa karibu wa Jack ambaye hakupenda
jina lichorwe gazetini, alisema kwamba mwanamitindo huyo amekuwa
akimuandikia barua mara kwa mara lakini safari hii ametaka ujumbe wake
uwafikie Watanzania.
“Amesema watu wasimhurumie kuhusu kufungwa, amesisitiza sana juu ya suala mavazi na mitindo. Amesema hapendi kuona Tanzania inayumba katika masuala ya mitindo ambayo yeye alikuwa akiiamini kwamba ni kazi ambayo inaweza kuwaingizia kipato watu wengi,” alisema rafiki huyo wa karibu.
“Amesema watu wasimhurumie kuhusu kufungwa, amesisitiza sana juu ya suala mavazi na mitindo. Amesema hapendi kuona Tanzania inayumba katika masuala ya mitindo ambayo yeye alikuwa akiiamini kwamba ni kazi ambayo inaweza kuwaingizia kipato watu wengi,” alisema rafiki huyo wa karibu.
September 22, 2014
Unknown
Mwanaume
mwenye umri wa miaka 33, raia wa Ufaransa amefungwa jela kwa kosa la
kumsumbua mpenzi wake wa zamani kwa kumpigia simu mara 21,807 akimtaka
amshukuru kwa kukarabati nyumba waliokuwa wakiishi.
Mwanaume
huyo alikiri kufanya kosa hilo na kueleza kuwa ulikuwa ‘upumbavu’ kwa
kuwa alikuwa amekatazwa kuwasiliana na mpenzi wake huyo wa zamani kwa
kipindi cha miezi kumi iliyopita na akakubali.
Amehukumiwa kwenda jela miezi 10, huku miezi 6 ikisamehewa, na anapaswa kulipa fine ya £793).
Saturday, September 20
September 20, 2014
Unknown
Kwa
mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona
akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri.Awamu hii imetokea
jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa
kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt,
Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa
London waliamua kuwa wapole tu na kurejea majumbani mwao na hasira
walizozimeza vifuani.
saeedderby: I
was there brov it was maad trust me, even police got involved with that
shit, they had to calm people down untill seven in the morning, people
wanted their money back he I’ll pay the price cause he got arrestedHUYU NDIYE MWAKILISHI WA BIG BROTHER KUTOKA TANZANIA KWA MSIMU HUU WA 2014,CHEKI VITUKO VYAKE HAPA!!
September 20, 2014
Unknown
September 20, 2014
Unknown
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
(Jeshi la Magereza)
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
(Jeshi la Magereza)
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA
Jeshi
la Magereza Tanzania Bara linatangaza nafasi za Mafunzo ya Awali ya
Askari Magereza yatakayoendeshwa Chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Mbeya.
Waombaji wa nafasi hizo wanatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:-
MASHARTI YA KUAJIRIWA:
1. JINSI: Mvulana au Msichana ambaye hajawahi kuoa au kuolewa na asiwe na mtoto
2. URAIA: Awe Raia wa Tanzania Bara
3. UMRI:
(a) Wahitimu wa Shahada: Awe na umri wa kati ya miaka 18 na 28
(b) Wasio na Shahada: Awe na umri wa kati ya miaka 18 na 24
4. UREFU:
MASHARTI YA KUAJIRIWA:
1. JINSI: Mvulana au Msichana ambaye hajawahi kuoa au kuolewa na asiwe na mtoto
2. URAIA: Awe Raia wa Tanzania Bara
3. UMRI:
(a) Wahitimu wa Shahada: Awe na umri wa kati ya miaka 18 na 28
(b) Wasio na Shahada: Awe na umri wa kati ya miaka 18 na 24
4. UREFU:
Monday, September 15
September 15, 2014
Unknown
KATIKA hali isiyo ya kawaida, askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanadaiwa kuwafanyia ukatili mkubwa vijana 11, wakazi wa eneo la Keko Magulumbasi B, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kwa kuwapiga na kuwalazimisha wanywe maji machafu yenye kinyesi.
Tukio hilo ambalo limefananishwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, linadaiwa kutokea Septemba 12 mwaka huu, saa 11 jioni, katika eneo la Keko Magulumbasi B.
Inadaiwa kuwa, wanajeshi hao ambao walikuwa saba wakiwa na sare za jeshi hilo, walifika Keko Magulumbasi B wakiwa na kijana mmoja mwenye asili ya Kiarabu na kuwavamia vijana waliokuwa wakila chakula kwenye kibanda cha chipsi.
Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa, wanajeshi hao waliwakamata vijana hao na kudai wanahusika kupora simu ya kijana mwenye asili ya Kiarabu aina ya Tecno yenye thamani ya sh. 25,000.
Pamoja na vijana hao kukataa kuhusika na tukio hilo, waliwekwa chini ya ulinzi, kufungwa mikono kwa kamba, kulazwa kifudifudi na kuanza kupigwa mikanda ya jeshi.
September 15, 2014
Unknown
Tabora siku yao rasmi ya burudani ilikua ni September 14 ambapo kwenye uwanja wa Al Hassan Mwinyi walijikusanya aisee Tabora mmeandika tena records ya mahudhurio mengi uwanjani.
September 14 Tabora walipata nafasi ya kumuona Dudubaya ambaye alipanda kama kuwasalimia mashabiki wake kisha akakumbushia wimbo wake mmoja kila mmoja alifurahi kumuona na alishangiliwa sana Dudubaya.
Hizi nibaadhi ya picha mtu wangu ambazo unaweza kushare na washkaji waone walichokifanya Tabora,Nuh na Shilole baadae walipanda wakaperfoam pamoja ilikua poa sana.
Friday, September 12
September 12, 2014
Unknown
Najua kuna uwezekano ukawa ulisikia fununu sana kuhusu iPhone6 au hata kuona baadhi ya taarifa feki kuhusu simu hii mpya, post hii ni maalum kukuletea taarifa sahihi na ya ukweli kuhusu iPhone6 ambayo ndio imetambulishwa rasmi.
Wanasema simu zote hizi mbili mpya zina A8 processor ambayo inafanya ziwe na kasi zaidi kuliko iPhone5 kwa asilimia 20.
September 12, 2014
Unknown
Takriban watu 50,000 nchini Marekani huambukizwa virusi vya HIV kila mwaka
Jaji
nchini Marekani amemuamrisha mwanamume mmoja mwathiriwa wa virusi vya
HIV kukoma kusambaza virusi hivyo na badala yake kupata matibabu.
Inaarifiwa mwanamume huyo amewaambukiza watu 8 virusi kwa kukusudia katika kipindi cha miaka minneMwanamume
huyo, aliyetambuliwa tu kwa herufi...'AO' katika stakabadhi zake,
ametakiwa na mahakama kupata ushauri nasaha ili aweze kuwakinga wapenzi
wake katika siku za usoni.Maafisa wanasisitiza kwamba sio lengo lao kuufanya uhusiano wa kimapeni kuwa uhalifu bali wanataka zaidi kulinda umma.Mwanamume
Wednesday, September 10
September 10, 2014
Unknown
Hapa ni stend kuu ya mkoa wa Ruvuma
na hii ndiyo gali iliyopata ajali na hapa likiwa stendi kabla ya kuanza
safari yake(Picha zote na demasho.com)
September 10, 2014
Unknown
Ni taarifa ambayo imethibitishwa pia na kamanda Mpinga na kweli imehusisha kifaru cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) saa kumi na moja alfajiri ambapo kifaru kimoja chenye tairi kwenye msafara wa jeshi hilo kimeripotiwa kuacha njia na kugonga nyumba.
Shuhuda alieongea na Power Breakfast ya CloudsFM amesema ‘Imetokea Mnolela kijijini Lindi kwenye msafara huu wa jeshi ilitangulia Iveco moja na nyuma vifaru viwili na walipofika kwenye eneo la shule kuna kona mbaya sana ambayo mara nyingi magari huwa yanaanguka’
‘Kifaru kimoja kwen
Wednesday, September 3
September 03, 2014
Unknown
Baada
ya watu kadhaa kulipotiwa kuwa wamefariki nchi jilani ya Congo kwa
ugonjwa wa ebola wananchi Mkoani Iringa wametakiwa kuchukua tahadhari ya
maambukizi na athari za ugonjwa huo.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dkt. Christine Ishengoma amesema Mkoa wa Iringa ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania ambayo inapakana na nchi za nje pia inapitiwa na barabara kuu inayotumika na wafanyabiashara wa kigeni wakiwemo wa kutoka nchini Cong
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dkt. Christine Ishengoma amesema Mkoa wa Iringa ni moja ya mikoa ya kusini mwa Tanzania ambayo inapakana na nchi za nje pia inapitiwa na barabara kuu inayotumika na wafanyabiashara wa kigeni wakiwemo wa kutoka nchini Cong
Subscribe to:
Posts (Atom)