Hii
ni stori nyingine tena ya 2014 ambayo inaingia kwenye list ya zile
stori ambazo ukishaisoma au kuipata unaanza kufikiria mara mbilimbili na
kujaribu pia kutengeneza picha yako mwenyewe kama upo eneo la tukio.
Watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyu walijitokeza Mahakamani ili
kuangalia kama ndugu yao aitwae Simon Ngozi (21) ataweza kupata dhamana
kwenye kesi inayomkabili ya kubaka mtoto wa miaka tisa.
Imetokea Kenya ambapo jamaa alikua amepelekwa Mahakamani Makadara
Nairobi lakini ghafla akamshangaza kila mtu baada ya kutaka kumaka
Mwanamke aliekua karibu yake baada ya kuanza kumshikashika.
Mshukiwa huyu alikuwa kortini kujibu tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka
tisa April 2014 ambapo wakati anataka kumbaka Mwanamke huyu Mahakamani
tena kwenye