Friday, March 28

Maajabu! Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Spirit and Truth, Amani Rubeni Mirumbe ameushangaza ulimwengu kwa kujitabiria kifo na baadaye kufariki dunia kweli huku akiwaachia waumini na familia yake wosia wenye viashiria vya kuzikwa Kiislam, Amani linakujuza.
 
 Mwili wa mchungaji Amani Rubeni Mirumbe ukiagwa.
Kifo hicho kilijiri saa 3:12 asubuhi ya Machi 24, mwaka huu, Mabibo jijini Dar es Salaam mahali lilipo kanisa na nyumba ya mchungaji huyo na kuzikwa saa 10:21 jioni. Kwa maana hiyo, mwili huo ulikaa kwa saa saba tu.
KILICHOSABABISHA KIFO
Saa chache baada ya kifo, Amani lilifika msibani na kufanikiwa kubaini mawili matatu kuhusu kifo cha mtumishi huyo wa Mungu.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wake, marehemu Mchungaji Mirumbe alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya presha lakini asubuhi ya siku ya tukio, alipoamka alimwita msaidizi wake na kumwambia siku hiyo haiwezi kupita bila yeye kukata roho.
“Ni ajabu sana, alipoamka tu alimwita msaidizi wake, akamwambia siku ya leo (Jumatatu) lazima afe ila kabla ya kuiacha dunia anataka kuacha wosia wake kwa ajili ya familia na sisi waumini,” alisema muumini mmoja ambaye aliomba hifadhi ya jina.
WOSIA NI HUU
Muumini huyo alisema kuwa, mchungaji huyo akiwa katika hatua za mwishomwisho kabla ya kifo, aliacha wosia kwamba, akishakata roho hatataka mwili wake uzikwe ukiwa ndani ya jeneza kama wafanyanyiwavyo Wakristo au wachungaji wengine.
 
Ndugu wa mchungaji Amani Rubeni Mirumbe wakiomboleza kwa simanzi kubwa
“Marehemu aliagiza mwili wake uwekwe kwenye sanda na hata kama ataagwa zoezi hilo lifanyike mwili ukiwa ndani ya s

Screen Shot 2014-03-28 at 4.07.47 AM 
Inaaminika katika mapenzi au uhusiano wa kimapenzi uliowahi kuandikwa sana kwenye mitandao na magazeti Tanzania, huu wa mwigizaji Wema Sepetu na Diamond Platnumz umevunja rekodi, mastaa ambao walifikia mpaka kuvalishana pete ya uchumba. Screen Shot 2014-03-28 at 1.52.37 AM
Pamoja na yote waliyopitia bado kalamu za Waandishi mbalimbali zilihusika kuwaandika


Jana katika mitandao mbali mbali ya kijamii ilionyesha snap inayodaiwa kupigwa katika akaunti ya msanii Trey Songz  na kudai kuwa amekubali mbele ya jamii kwa
                            Wanandoa

INGAWA tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.
Imefahamika kuwa tendo hili likifanyika ipasavyo husaidia kuondoa msongo wa mawazo, maradhi ya moyo, maumivu ya kichwa yasiyokoma na kupunguza kasi ya saratani ya tezi dume. Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba Muhimbili (Muhas), Dk Yahya Kishashu anasema inategemea tendo linafanywa na nani na mhusika yupo kwenye mazingira gani.
“Kwa mfano, tendo la ndoa linaondoa msongo wa mawazo iwapo unayetenda naye unampenda na  amekupa maandalizi mazuri. Sidhani kama alimradi utende hilo tendo na yeyote litakusaidia,” anasema mtaalamu huyo.
Anaongeza kuwa  ndiyo maana baadhi ya watu wanatoka nje ya ndoa zao kwa sababu si mara zote tendo la ndoa linawafurahisha wanandoa.
“Wakati mwingine tendo hilo laweza kuwa karaha kwao,” anasema
Mazoezi
Si hivyo tu, utafiti uliofanyika Canada  hivi karibuni umebainisha kuwa kufanya tendo la ndoa kwa kipindi cha dakika 25 kwa wanamume kunachoma kalori 100 na kwa wanawake kalori 69.
Tendo hilo likifanyika kwa nusu saa, linaweza kupunguza kalori za mwili kuliko kutembea kwenye mashine ya mazoezi ya ‘treadmill’.
 Hili ni jambo la Kustaajabisha Kabisa baada ya Wawili hawa Kuamua Kutengeneza Keki inayo fanana Na Sura zao Siku ya Ndoa Yao. Keki hii imetumi zaidi Ya masaa 40 mpaka kukamilika Kutengenezwa. Maana yeke ni kwamba Wawili hao Wameapizana kwamba Kifo Ndio kiwatengenishe na si kitu kingine! Until Death Do Us Apart

http://www.tanzanianewz.com
 Wawili hawa wameamua Kutengeneza Keki

Tuesday, March 25

Kwanza kabisa hakikisha mtindo wa kulala ni kifudifudi (kulalia tumbo), kwa kufanya hivyo kunasaidia kwa kiasi kikuwa kufanya matiti yako pumzike, kwamba hakutakuwa na kuning'inia kama utakuwa umelala chali(lalia mgongo) au kiubavu.

 Zoezi...1 Asimame wima dhidi ya mlango au ukuta kisha aegeshe matiti yake mahali hapo kwa nguvu kisha aachie (ajitoe ukutani), zoezi hili hufanya matiti yaume sana lakini wewe kama dada mpe moyo kuwa avumilie. Afanye hivyo mara 20 kila asubuhi. 

NAKUMATT JUNCTION NAIROBI 
Baada ya tukio la Westgate ambalo lilichukua maisha ya watu wengi, jiji la Nairobi limekumbwa na tishio jingine la aina hiyo kwenye eneo la biashara la Nakumatt Junction Barabara ya Ngong ambapo yamekutwa masanduku manne ya kubebea risasi kwenye eneo la kuegesha magari kwenye vyumba vya chini (Basement).
Masanduku hayo yalipatikana ndani ya toroli la kubebea mzigo kutoka kwenye duka la jumla la Nakumatt ambapo walioshuhudia wamesema sanduku hizo zilikuwa zimeandikwa ‘e
                           Screen Shot 2014-03-25 at 10.13.21 PM 
Masanja Mkandamizaji ambae anatajwa kuwa miongoni mwa wachekeshaji wachache wa Tanzania waliofanikiwa kimaisha, amesema ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu ni muujiza’
                          dd


             Screen Shot 2014-03-25 at 11.38.42 AM 
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi yaani ‘nominees’ wa vipengele 34 vya tuzo za muziki Tanzania.
Kabla ya kuanza kutajwa kwa wanaowania tuzo za KTMA 2014, BASATA ilitangaza nyimbo ambazo zimetolewa kwenye kuwania tuzo hizi kutokana na sababu za kimaudhui kama unavyoona hapa chini.
                              Screen Shot 2014-03-25 at 11.02.10 AM
Mtoto aitwae Satrin Osinya ambae bado anarisasi kichwani mpaka sasa kutokana na shambulizi lililofanywa kanisani Mombasa na watu wasiofahamika Jumapili iliyopita ambapo mama yake mzazi aliuwawa.
Huyu aliembeba akiwa na huzuni inayoambatana na machozi ni Moses Gift katika hospitali ya Coast General, Mombasa ambapo picha ya Xray imeonyesha huyo mtoto bado ana risasi kichwani.
Imefahamika kwamba risasi iliyomuingia kichwani mtoto huyu ndiyo iliyomuua mama yake, yani baada ya kunyooshewa silaha mama alikua ana mkinga mwanae ndio risasi ikamuua yeye kisha ikaenda kutua kichwani kwa mwanae.
Madaktari wamekuwa wakitazama picha za Xray na Scan kuchunguza iwapo upasuaji utafanikisha kutolewa kwa risasi kichwani mwa Santrin bila kumpa maumivu
 
Lingine ni kuonekana mwepesi kwenye suala la mapenzi hivyo mwanaume kuwa na mashaka kwamba hata kama akifikia uamuzi wa kukuoa unaweza kuwa mwepesi kutoa penzi kwa wengine kama ulivyofanya kwake.
Sasa hebu tuone athari anazoweza kupata msichana akiharakisha faragha na mwenzi wake.
 (i) Hupunguza thamani
Heshima ya penzi ni kwenye ndoa. Kuna uwezekano mkubwa sana wa kushushwa thamani baada ya kutoa penzi. Wanaume wengi huanza kuwa wasumbufu (kama ni kasumba yao) kwa wapenzi wao baada ya kutoka nao kimapenzi.
Pamoja na kwamba ni tendo la furaha lakini kwa mwanamke linampa unyonge na wakati mwingine huwa mwanzo wa utumwa wa mapenzi kwa kuogopa kuachwa wakati tayari ameshatumika!
Hebu jiulize; utatumika na wangapi? Ukifikiri kwa makini juu ya jibu la swali hili bila shaka utabadilisha mtazamo wako.
(ii) Hupunguza msisimko
Penzi la kienyeji mara nyingi hata wahusika huwa wanajua kabisa kuwa wanakosea. Makosa haya husababisha kupoteza msisimko wa ndani. Ni jambo la kisaikolojia zaidi na huenda muathirika asigundue tatizo hili kupitia dalili za kitaalamu atakazozionesha.
Mkishaibana huko nje huwa kuna uwezekano mkubwa zaidi wa kupoteza msisimko wa kawaida. Mfano mawasiliano hupungua, hamu ya kuonana inapungua n.k
Hapa nisipoteze muda sana, wengi mnafahamu inavyokuwa; mwanaume akishatoka na mwanamke, taratibu ataanza kujiweka pembeni. Kama alikuwa anapiga simu mara nne au tano kwa siku, hupunguza idadi na wakati mwingine hupitisha siku nzima kabisa.
Mbaya zaidi, unaweza kumpigia wewe na bado asipokee, ukituma ujumbe mfupi hatajibu au atachelewa. Kesi nyingi sana nilizokutana nazo za wanawake wanaolalamika wapenzi wao kubadilisha utaratibu wa mawasiliano, baada ya kuwahoji walisema jambo hilo limejitokeza baada ya kuwapa penzi.
 
Mchumba wa Fariq Abdul Hamid, Nadira Ramli.
 
Mmoja wa rubani wa ndege ya Malaysia iliyopotea, Fariq Abdul Hamid.
Screen Shot 2014-03-25 at 1.29.26 AM 
Colonel Mustapha ni miongoni mwa Wasanii wa longtime kidogo kwenye game ya muziki Kenya toka enzi hizo akiwa kwenye kundi lililotoa hit single yenye maneno ‘bibi yake mufupi, kijana murefu ametoka wapi’
Hivi karibuni ameingia kwenye vichwa vya habari sana hasa baada ya kutangaza kuwa mapenzini na Huddah, mrembo aliewahi kuiwakilisha Kenya kwenye shindano la Big brother Africa ambapo uhusiano wao hauchukua muda mrefu ukavunjika.
Kabla ya kuvunjika, tayari walikua wameshapiga picha ambapo Mustapha anasema alikua amerekodi wimbo na Huddah lakini walipoachana mrembo huyu akasema Ogopa Dj’s wasiitumie tena sauti yake kwenye huo wimbo na kama watafanya hivyo atawashitaki.
Hata hivyo picha zao wawili zilishasambaa kwenye internet tayari na kuanza kuchukua headlines kutokana na pozi zao.
Screen Shot 2014-03-25 at 1.29.51 AM
Kuonyesha kupinga hiki kitendo, mwimbaji staa wa ‘watu na viatu’ Nyota ndogo aliungana na Wanawake wengine Mombasa na kuandamana kupinga kitendo cha Mustapha kuzisambaza picha zinazomdhalilisha Mwanamke hivyo aombe msamaha haraka iwezekanavyo.
Screen Shot 2014-03-25 at 1.30.18 AM 
Namkariri Nyota akisema ‘Mustapha ambae ni msanii mkubwa ameanza muziki kitambo kuchukua picha za watoto wa kike na kuwavua nguo, hii itanyima hata Wazazi kuachia watoto wao kufanya muziki unaoonekana uhuni… ikiwa Mustapha hatoacha hii itatuharibia, kama kaona ameshindwa kutunga nyimbo zitazowashika watoto wa sasa hivi afate mtoto amuandikie’
‘Ameona jina linashuka ndio maana bora achukue picha za uchi atengeneze skendo, Mustapha nimekua nae kwenye muziki miaka mingi, kwa nini sasa hivi ndio afanye kwa sababu Prezzo anafanya? ama ameona Prezzo yuko juu kwa sababu anafanya.. yeye ndio anatakiwa kumwambia Prezzo usifanye hivi’
Screen Shot 2014-03-25 at 1.34.45 AM
Screen Shot 2014-03-25 at 1.35.12 AM 
Hata hivyo Mustapha amezungumza baada ya haya maandamano na kusema ‘Ni kitu cha kushtua kuona maandamano yamefanyika kwa ajili ya Mustapha, wakati tunapiga hizi picha hakukua na lengo lolote la kumdhalilisha Mwanamke bali ilikua mambo yetu yenyewe kwa raha zetu, nilivyoona youtube kuhusu haya maandamano nimehuzunika… naomba msamaha kwa yeyote aliekerwa na hili… nimekubali kuomba msamaha kwa Wanawake’
Kwa kumalizia Mustapha amesema ‘kuna Wasichana ambao wanataka tupige hizo picha na wananilipa’
Screen Shot 2014-03-25 at 1.37.19 AM 

Screen Shot 2014-03-25 at 1.00.53 AM 
Waziri wa Malaysia amebadilisha vichwa vya habari duniani kwa kusema ripoti ya shirika moja la Uingereza inadhihirisha kwamba ndege ya Malaysia iliyopotea zaidi ya siku 15 zilizopita, ilianguka kwenye bahari ya hindi na kuua watu wote waliokuwemo ndani.
Ni habari ambayo imepokewa kwa machungu sana hasa kwa ndugu waliopoteza wenzao waliokua wakisafiri na ndege hii…
Screen Shot 2014-03-25 at 1.00.46 AM 
Ndege hii ya Malaysia ilikua na abiria 239 ndani yake.
Screen Shot 2014-03-25 at 1.12.01 AM
Screen Shot 2014-03-25 at 1.11.58 AM

Monday, March 24

Harusi ilifanyika Jana jionee Picha mbali mbali hapa chini
First photos of the bride and groom: Paul Okoye & Anita Isama

                         mombasa 
Leo hii jumapili tarehe 23/3 watu kadhaa ambao wanasadikika kuwa ni magaidi wamevamia kanisa moja linalojulikana kwa jina la Joy Jesus Church huko Mombasa na kuanza kupiga risasi kanisani hapo.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema baada ya watu hao kutekeleza tukio hilo walikimbia kwa miguu kuelekea pasipo julikana.
Afisa wa polisi wa eneo hilo amesema hadi sasa wamefariki watu wawili na wengine kumi wamepata majeraha ya risasi nakukimbizwa hospitali.
                      tambwe 
STRAIKA namba moja wa Simba, Amissi Tambwe ametoa ya moyoni baada ya kutamka hadharani kwamba anatamani angekuwa anacheza na mawinga wenye kasi na ubora kama wa Yanga kwani makipa na mabeki wangemtambua.
Tambwe ambaye ni raia wa Burundi amesisitiza kwamba angekuwa na wachezaji hao mpaka sasa angekuwa amepachika mabao mengi na kazi yake ingekuwa rahisi zaidi tofauti na sasa ambapo amekuwa akitumia nguvu nyingi zaidi Simba kutokana na aina ya uchezeshaji.
Yanga mara nyingi inawachezesha mawinga wenye kasi ambao ni Simon Msuva, Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi huku washambuliaji wa kati wakisimama Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa wakati mwingine Said Bahanuzi ambaye hana uhakika wa namba kikosini.
Tambwe alisisitiza licha ya upinzani wa Simba na Yanga lakini mtu akifanya kitu kizuri kiuanamichezo husifiwa, alisema kuwa mawinga wa Yanga wana uwezo mkubwa wa kupiga krosi na kutengeneza pasi nzuri za kufunga mabao.
“Ujue siku zote katika mechi zetu, mara nyingi utanikuta nipo katika eneo la 18 nikisubiria pasi na krosi kutoka kwa mawinga na viungo wenye jukumu la kunichezesha ikiwemo kunipa pasi na krosi nzuri za kufunga mabao.

Wednesday, March 19




 
Are you having problems with gaining the heart of the woman you love? Have you tried all your best possible methods of gaining their heart, trust and yet not working out? Hopefully, this article might solve your issues.
Welcome to the 21st century; an era where building a relationship is as tasking as getting a good girl for a serious relationship. Paraventure you get a good lady, gaining her heart is another problem.

Guys, it is of no doubt that most ladies in this era lack morals, respect and home etiquettes as compared to those of the 20th Century.

In the 20th Century, parents pray most times for their daughters in respect of a good, responsible husband but in this century, this prayer is the reverse because "THE GOOD HAS TURN BAD WHILE THE BAD HAS TURN GOOD."
Jamani Wadau Embu kuweni makini na Mishikaki ya Huko barabarani hasa vituo vya Stand ..Huwa vijana inasemekana walikuwa wakimchuna mbwa kwa ajili ya kuandaa mishikaki ya kuuza

    Rais Jakaya Kikwete akiwa ndani ya ukumbi wa Bunge. Picha ya Maktaba.
                
Na Magreth Kinabo, Maelezo-Dodoma
 
RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia Bunge Maalum la Katiba pamoja na kulizinduwa Machi 21, 2014 mjini Dodoma. Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa bunge hilo,  Yahya Khamis Hamad wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa ofisi za Bunge mjini Dodoma.
“Kwa mujibu wa kanuni ya 75 (1), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atalihutubia Bunge Maalum siku ya Ijumaa Machi 21, mwaka 2014 saa 10 jioni, ambapo wageni waalikwa wote watatakiwa kuwa wameingia na kuketi katika maeneo watakayoelekezwa saa 9:00 alasiri,” alisema Katibu Hamad.
Alisema ratiba ya shughuli hiyo itaanza na kikao cha Bunge saa 9:10 na baadaye kikao hicho kitaanza saa 9:20 kwa ajili ya kumpokea Rais. Aliongeza kuwa mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge, Rais Kikwete atapokewa na Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu, Naibu Katibu wa Bunge Maalum, ambapo baadaye ataelekea katika jukwaa maalum kwa ajili ya kupokea salamu za heshima na kukagua Gwaride Maalum ambalo limeandaliwa na Jeshi la Polisi.
                         
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu.
Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.

Jaji Warioba alisema Zanzibar inalalamika kwamba Tanganyika imejificha kwenye koti la Muungano na ndiyo inayofaidi na Wazanzibari wanaiita ni Serikali ya Tanzania Bara na sio ya Muungano.

Alisema orodha ya mambo ya Muungano ni suala ambalo limelalamikiwa kwa muda mrefu na hatua zilizochukuliwa ni kupunguza mambo ya Muungano.

Katika eneo hilo, alisema suala la uhusiano wa kifedha pia limekuwa na utata kwa muda wa takribani miaka 40 na kiini chake ni malalamiko ya kutoka kila upande kuhusu nani anafaidi rasilimali za Taifa.

“Kwa tathmini ya Tume, muundo wa serikali mbili hauwezi kubaki kwa hali ya sasa, Muungano wa Serikali mbili waliotuachia waasisi siyo uliopo sasa,” alisema Warioba na kueleza kuwa umebadilishwa mara nyingi wakati mwingine bila kufanya mabadiliko ya Katiba. Muungano wa waasisi Alisema waasisi walituachia Muungano wa nchi moja yenye serikali mbili na siyo nchi mbili zenye serikali mbili;

                          


Jamaa za abiria waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia
Jamaa za abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia iliyopotea,wametisha kususia chakula ikiwa maafisa wa utawala wa Malaysia watakosa kutoa taarifa kamili kuhusu ndege hiyo siku 11 zilizopita.
Jamaa hao wameelezea kukerwa mno baada ya mkutano na maafisa wa shirika la ndege hiyo mjini Beijing.
Maafisa wa Malaysia nao wanasema kuwa wanafanya kila wawezalo katika kuisaka ndege hiyo.
Ndege hiyo MH370 ilitoweka tarehe nane mwezi Machi ikiwa imewabeba watu 239.
Nchi 25 zinahusika na juhudi za kuisaka ndege hiyo huku China ikianza kuitafuta katika ardhi yake.
Watu 153 raia wa China walikuwa kwenye ndege hiyo iliyokuwa inatoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing.
Vyombo vya habari nchini China vimekuwa vikikosoa juhudi za Malaysia katika kuitafuta ndege hiyo.
Baadhi ya jamaa za wachina wanasema kuwa wanaamnini serikali ya Malaysia imebana taarifa kuhusu ndege hiyo na wanataka maelezo zaidi kuihusu.
Baada ya kukutana na maafisa wa shirika la ndege siku ya Jumanne, familia za waliokuwa kwenye ndege hiyo walitishia kususia chakula
                          
KATIKA mapenzi, kila mmoja huwa na hisia zake moyoni, kwa bahati mbaya hisia hizo haziwezi kuonekana kwa macho na ni vigumu sana mtu kutoa hisia zake za siri. Mara nyingi imekuwa ikitokea wapenzi kuzungumza kwa vitendo zaidi kuonesha kilichomo moyoni mwake.

Wachache walio katika uhusiano wameweza kung'amua siri zilizopo moyoni mioyoni mwa wenzi wao, kwa wanaoshindwa hubaki wakifanya mambo ndivyo sivyo bila kujua wanawaudhi wapenzi wao kwa namna moja ama nyingine.

Katika mada hii nitazungumza zaidi na wanaume kuhusu siri hizo. Umeshawai kujiuliza, kila unayomfanyia mpenzi wako anayafurahia au yanamboa?

Linaweza kuwa swali gumu sana kwako, lakini leo nimekuletea siri nzito usizozijua, walizo nazo wanawake mioyoni mwao juu ya wapenzi wao. Inawezekana huzijui, hii ni nafasi yako ya pekee kuzifahamu, kujifunza na kuchukua hatua.

Wanawake kama ilivyo kwa wanaume, wanahisia ambazo wakati mwingine kutokana na sababu za kimaumbile wanashindwa kuzitoa moja kwa moja kwa wapenzi wao.Hili sio tatizo kubwa, kama wewe mwanaume utakuwa mwelevu mwenye kumchunguza vizuri mpenzi wako.

Sunday, March 16

Mwimbaji wa nyimbo za dini kanisani hapo Joji Baro na shoga wake
Maajabu hayawezi kuisha! kanisa jipya la mashoga limeanzishwa nchini kenya likipakana na super market ya nairobi upmarket na kanisa hilo lina washirika zaidi ya mia 200.
 mkurugenzi wa mawasiliano wa kanisa hilo
Wanawake wanaochelewa kuzaa wanakabiliwa na tisho la kupata matatizo ya afya ya uzazi. Huu sio utafititi tu balo maoni ya daktari mmoja mkuu mjini Nairobi Kenya.
Athari za kuchelewa huko ni pamoja na kukumbwa na utasa, tisho la kupata Saratani ya kizazi na matiti pamoja na matatizo wakati wa kujifungua.
Wanawake wengi wanaofanya kazi huchelewa kuzaa mtoto wao wa kwanza hadi wanapofika umri a miaka 35 badala ya kuzaa wakiwa na umri wa miaka 24-28.
Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya afya ya uzazi.
Mtaalamu wa afya ya uzazi mjini Nairobi, Daktari John Ong'ech aliyehojiwa kuhusu hoja hii alinukuliwa akisema kuwa ''wanawake kwanza wanataka kusoma masomo ambayo hayaishi, daima wako madarasani na ofisini na kuahirisha kuzaa mtoto wao wa kwanza hii ni hatari kubwa.''
Bwana Ong'ech alisema kuwa wanaochelewesha kuzaa, wanaweza kupata Fibriods au uvimbe katika kizazi, na hata kupata magonjwa kama Saratani ya kizazi au HIV.
Fibroids zinasababishwa na kuzagaa kwa homoni mwilini, kutokana na kutumia mbinu moja ya kupanga uzazi kwa mda mrefu.
Wanaochelewa kuzaa pia wanakabiliwa na tisho la kuzaa kwa njia ya upasuaji au Caesarean .
Hatari hizi ni nyingi tu, sasa chaguo ni kwako.

Source: BBC

Saturday, March 15

Screen Shot 2014-03-14 at 2.57.41 PM 
Ni kawaida kukuta maisha wanayoishi Wanasiasa ni tofauti na wapiga kura wao lakini sio hivyo kwa Rais wa Uruguay ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya kipato chake kusaidia watu masikini.
Umri wa Jose Mujica ni miaka 78 ambapo May 20 mwaka huu anatimiza miaka 79
1. Yani nguo zake zinafuliwa kawaida na kuanikwa nje tu, pia maji anayotumia ni ya kisima ambacho kina magugu mengi.
2. Analindwa na Polisi wawili na mbwa na aliikataa kukaa kwenye nyumba ya serikali aliyopewa na badala yake kaenda kuishi kwenye nyumba ya mke wake huko mashambani ambako kuna mazingira ya kimasikini sana ikiwemo barabara mbovu nje kidogo ya mji wa Montevideo.
3. Rais na mkewe hufanya kazi ya kuotesha maua wao wenyewe yakiwa ni maisha ya kipekee kusikia ni ya Rais wa nchi.
Screen Shot 2014-03-14 at 2.53.38 PM 
4. Mujica anatoa asilimia tisini 90% ya mshahara wake wa kila mwezi kusaidia watu masikini huku akisema ‘naweza kuonekana kama mzee wa jadi lakini maisha haya nimeyachagua mwenyewe, naweza kuishi vizuri na kile nilichonacho.
Screen Shot 2014-03-15 at 11.55.14 AM 
Baada ya  Wema Sepetu kwenda  kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio.
kutokana na kuona video ya Diamond akiwa na Victoria Kimani studio, msichana ambae amewahi kutajwa kuwa mapenzini nae.
Baada ya yaliyotokea jana, Wema ameandika haya maneno hapa chini baada ya kuweka

Ujira wa usaliti ni aibu kubwa! Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Baba Anorld almaarufu Ngosha, amedai kumfumania laivu mkewe, Anjela ‘Mama Anorld’ akiwa chumbani na shemeji yake aliyetajwa kwa jina moja la Paulo. 

Tanganyika jeki: Mtuhumiwa Paulo akiwa kakamatwa Tanganyika jeki baada ya kunaswa. 
Fumanizi hilo lilitokea usiku wa kuamkia Jumatano wiki hii, nyumbani kwa wanandoa hao huko Vingunguti-Mikoroshoni, Dar baada ya Ngosha kumwekea mkewe huyo mtego. 
Ilielezwa kuwa awali, Ngosha alikuwa akishirikiana na Paulo kwa mambo mengi na hakuwa na shaka naye lakini kuna siku moja majirani walimwambia ‘Oyaaa…babu shtuka mali zako zinaliwa, tena kikulacho ki nguoni mwako’. 
 
Mtu na shemeji yake: Paulo na Anjela ‘Mama Anorld’ baada ya fumanizi. 
Ilielezwa kuwa baada ya kuambiwa maneno hayo alitafakari lakini akashindwa kupata majibu hadi pale alipotamkiwa kabisa kuwa jamaa yake anamsaliti kwa mkewe. 
 
Ngosha alisema katika uchunguzi wake, wapambe walimng’ata sikio kuwa anazungukwa na Paulo ambaye amekuwa akimuita mama Anord shemeji huku akimng’ong’a Ngosha kisogoni. 
 
 
Kuua soo: Mtuhumiwa Paulo akijaribu kujitetea baada ya kunaswa akijivinjari na shemeji yake. 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hana mpango wa kuwahoji Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotokana na chama hicho kwa sababu ya misimamo yao inayokinzana na miongozo ya chama, kwa kuwa anawafahamu wote kwa majina na idadi yao haizidi kumi.
Kauli hiyo ya Kinana inafuatia taarifa zilizoripotiwa na gazeti hili hivi karibuni kuwa, CCM kimeanza kuwahoji baadhi ya wabunge wake, ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ya kupingana na maelekezo ya chama hicho kuhusu Muundo wa Serikali mbili.
"Sisi (CCM) hatuhoji mtu kwa sababu ya kuwa na msimamo tofauti, kwani hawa wenye msimamo tofauti na chama hawazidi kumi ama siyo zaidi ya 15," alisema Kinana na kuongeza;
"Hawa watu mimi nawajua kwa majina, mmoja (jina tunalo) ni hatari zaidi kwa sababu anaweza kuwakusanya wengine na kuwashawishi wafuate msimamo wake, lakini waliobaki wote, hawatishi kwa kuwa wanabaki na misimamo yao wenyewe."
-