Wednesday, December 17


breakingnews1 
Taarifa ambayo imetolewa kupitia Clouds FM mchana wa December 17 ni kuhusu kifo cha aliyekua Mmnenguaji wa muziki wa dansi Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ kufariki dunia.
aishamadinda 
WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MH HAWA GHASIA.

Serikali imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita
wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi
wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana
na kubainika kuchangia kuvurugika kwa
uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika
tarehe 14, mwezi huu.

Akitangaza hatua hiyo kufuatia ripoti
iliyoibua madudu yaliyofanyika katika
uchaguzi huo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI) Mhe. Hawa Ghasia amesema
uamuzi huo pia umeridhiwa na Rais Jakaya
Kikwete.

Beats By Dre
Dapo Daniel Oyebanjo a.k.a D’Banj amekuwa Balozi wa bidhaa za Beats by Dre kwa upande wa Afrika kwa miezi kadhaa sasa, dili linalomfanya aongeze ile mirija ya kujaza akaunti zake za Benki Naira nyingi tu kila mwezi.
Beats by Dre zina heshima yake kubwa sokoni kwa sasa, najua unajua hilo, kingine ni kwamba kuna zile special ambazo huwa zinatengenezwa chache na maalum kabisa, mtu ambaye anaweza kupewa labda ni Balozi wao au mtu mwingine maalum kama zawadi, kama ikitokea zikiuzwa basi bei yake huwa ni bei maalum vilevile.
Katika zile special ambazo zimewahi kutolewa kwa Balozi D’Banj, aliwahi kumpa zawadi ya aina hiyo Iyanya wakiwa Airport Nigeria, baada ya hizo taarifa ikufikie kwamba safari hii zali hilo limemuangukia Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan.
Kaweka picha Instagram (iambangalee) akimvalisha Mr. President mzigo huo, mitandao ya Naija haikukosa neno, wanasema eti Rais alionekana kama hakuipokea poa hii ya kuvalishwa headphone hizo, huenda Balozi huyo alikiuka protocol labda.
Aliandika hivi kwenye post hiyo; “Merry Christmas Mr President with Love from@iambangalee and @Beatsbydre OooSssHhhEee“– @iambangalee
Cheki tukio zima hapa.
DBanj-600x600
DBanj1-600x60017-564x372

Sunday, December 14

wedding-cake-lovely-minimalist-modern-two-tier-black-and-white-wedding-cake-with-gorgeous-red-roses-topper-extraordinary-modern-wedding-cakes-collection
Sherehe moja kubwa ya harusi iliyopangwa kufanyika Turkana, Kenya iliingia majonzi makubwa saa chache kabla ya sherehe hiyo kufanyika.
Binadamu tumekuwa tunapanga mengi kwenye maisha wakati Mungu anapanga yake pia, yale yote yaliyopangwa kufanyika siku ya Harusi hiyo ikiwemo kukata keki pamoja na burudani ya waimbaji wa kwaya, ililazimika yafanyike siku ya msiba wa Peter Eroo
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Ni stori ya kusikitisha sana! Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kaskazini mkoani Lindi kwa ‘leseni’ ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kati ya mwaka 2005 hadi 2010, Dk. Samson Mpanda, amesimulia jinsi alivyopata upofu akiwa kwenye nafasi yake ya ubunge, tatizo ambalo lilimuanza mwaka mmoja tu baada ya kuchaguliwa na kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.

Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kaskazini mkoani Lindi kwa ‘leseni’ ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kati ya mwaka 2005 hadi 2010, Dk. Samson Mpanda (kulia) akiwa na kaka yake.
Akisimulia mkasa huo wa kuumiza mbele ya waumini wa Kanisa la The Revelation
Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando wakati akifanya yake.
STORI: Mwandishi Wetu
Haya ni madai mazito! Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando, anadaiwa kutundikwa mimba a.k.a ujauzito unaomfanya hivi sasa kutumia muda mwingi kujificha ndani, Risasi Jumamosi limenyetishiwa.
Mapema wiki hii, chanzo kimoja kilipiga simu katika chumba chetu cha habari na kusimulia kuhusu habari hiyo, kwamba, Rose ambaye hana mume, amenasa na muda wowote kuanzia sasa anaweza kuitwa mama.
KUMBE
Madai ya chanzo hicho yalieleza kwamba, staa huyo amekuwa akijichimbia nyumbani kwake mkoani  Dodoma tofauti na siku za nyuma ambapo alikuwa hakauki jijini Dar.
Sex  with dolphin
Najua utapata maswali mengi ya kujiuliza inakuwaje mpaka binadamu anabakwa na papa? alikuwa anafanya  nini mpaka papa akafanikiwa kumbaka wakati zile za story za kufanya mapenzi na mbwa zimekuwa za kawaida kabisa.

Habari iko hivi nchini Cuba kulikuwa na mchezo unahusisha watu kupigwa busu na papa aliyeko kwenye maji,yaani unasogea karibu na maji halafu papa anaruka nakuja kukubusu

MEBAINIKA kuwa ndani ya tasnia ya filamu Bongo kuna baadhi ya wasanii wanaofanya mapenzi ya jinsia moja yaani mashoga, Risasi Mchanganyiko limenyetishwa.
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.
Hilo limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Museven, kupitisha sheria nchini mwake ya kupiga marufuku mavazi yasiyo na staha, uvunjifu wa maadili na mapenzi ya jinsia moja. 
Uganda ipo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiunganishwa na nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda, Burundi na Uganda yenyewe.  
HABARI KAMILI
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vilivyomo ndani ya kundi hilo, baadhi ya wasanii wa kiume wanadaiwa kuwa ni mashoga, ingawa wanajifanya vidume vya mbegu. 
“Wapo mashoga na mabwana zao tunawajua ila sema sasa kwa sababu huna ushahidi wa moja kwa moja na hujamfuma kwenye tukio, unashindwa kumtaja,” alisema msanii mmoja wa kike, Bongo.  “Yule…(analitaja jina la msanii mkubwa) bwana’ke alifariki na sasa ana mwingine lakini ndani ya Bongo Muvi anaonekana kiwembe kwa sababu ana

Tuesday, December 2

Unamjua? Anaitwa Harbinder Singh Sethi! Ni mfanyabiashara bilionea mwenye asili ya Bara la Asia na mmiliki wa mtambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ambayo hivi karibuni imezua tafrani Bongo kufuatia kampuni yake kuhusishwa na uchotwaji wa fedha kiasi cha Sh. Bilioni 306 kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Singa singa ambaye ni mmiliki wa mtambo wa kufua umeme wa IPTL, Harbinder Singh Sethi! (wa pili kulia) akielekeza jambo.
Harbinder ambaye ni singasinga anatajwa pia akidaiwa kuwa mfanyabiashara tapeli kufuatia vitendo vyake mbalimbali katika kumiliki makampuni na ukwepaji wa kodi ya serikali.
HISTORIA YAKE FUPI
Stori: Mwandishi Wetu HUKU moto wa upotevu wa fedha za umma katika akaunti ya Tegeta Escrow ukiwa bado unawaka kufuatia mawaziri wawili, mwanasheria mkuu wa serikali, katibu mkuu mmoja na Bodi ya Tanesco kutakiwa kuwajibishwa, mali zinazomilikiwa na vigogo waliochotewa fedha hizo usipime.
Moja ya ghorofa la kifahari katika maghorofa yanayomilikiwa na vigogo wa Escrow.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa wanaotajwa kunufaika na fedha hizo, unaonyesha kuwa, pamoja na mambo mengine, wanamiliki majumba makubwa ya kifahari, yakiwemo maghorofa katika maeneo mbalimbali ya mikoa, ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya na Morogoro.
Mmoja wa wanaotajwa (jina linahifadhiwa
1560Mch. Getrude Rwakatare.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare amefunguliwa mashitaka katika Kituo cha Polisi Wazo Hill kwa uharibifu wa mali inayodaiwa ina thamani ya shilingi milioni 20.
Taarifa zilizopatikana katika kituo hicho zenye Jalada la Kumbukumbu WH/RB/9029/2014 UHARIBIFU WA MALI na kuthibitishwa na mlalamikaji aliyejitambulisha kwa jina la Grayson Justine, zinaeleza mchungaji huyo alivunja nyumba ya Grayson kwa greda hali iliyomfanya mmiliki huyo kuzimia na kulazwa Zahanati ya Mico iliyopo Wazo Hill baada ya presha kupanda.
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.PICHA|MAKTABA.


Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema pamoja na kutoa maazimio manane kuhusu uchotwaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Bunge limefanya makosa ya kutozijumuisha Wizara ya Fedha na ile ya Viwanda na Biashara katika uchunguzi huo kwa kuwa nazo zinahusika.


Akizungumza katika mahojiano maalumu ofisini kwake Dar es Salaam jana, Jaji Warioba alitaja mambo manne aliyoyatilia shaka katika uamuzi huo wa Bunge, akisema yalilenga kulindana.


Mambo hayo ni msingi wa hukumu kwa watuhumiwa, wahusika wengine kutotajwa, mwingiliano wa mamlaka ya mihimili ya dola na wizara hizo kuachwa.


“Naona kama kulikuwa na namna fulani hivi ya kulindana. Uamuzi wa Bunge ulifikiwa kutokana na msukumo wa wananchi wa kutaka kujua hatima ya suala la escrow na IPTL, wahisani kusitisha msaada kwa sababu ya uchotwaji huo wa fedha pamoja na siasa, hasa zinazolenga urais mwaka 2015.”


Jaji Warioba alisema katika ripoti ya CAG na PAC, wametaja ukiukwaji wa malipo ya kodi ya ongezeko la mtaji (capital gain) na ushuru wa stempu (stamp duty) na kuwa wanaohusika katika hilo ni Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na upande mwingine ni Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) ambao uko chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara.

Tuesday, November 4

nett 
Umewahi kufikiria manyoya ya kuku yanaweza kutumika kuwa kinga ya kuzuia mbu?hii ni kweli baada ya wataalamu wa mambo ya afya kudhibitisha hilo na kusisitiza ina uwezo huo kama ilivyo kwa vyandarua vinavyotengenezwa viwandani.
Wanasayansi kutoka Taasisi ya Afya Ifakara ‘IHI’ wamegundua mradi wa kutengeneza vyandarua kwa kutumia manyoya ya kuku yaliyorundikwa nyumbani na majalalani ikiwa ni moja ya jitihada za kuendeleza vita dhidi ya ugonjwa wa malaria hasa kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti wa kila mwezi iliyotolewa na Taasisi hiyo kwenye Gazeti la NIPASHE,manyayo hayo yatakua yanakusanywa kutoka maeneo ya masoko na kwenye makazi ya watu.
 

Rihanna 
Kimya cha miezi sita huenda kikarudi na mengi kumhusu mkali Robyn Rihanna Fenty a.k.a Rihanna, ambaye imeripotiwa kuwa amerudi tena katika mtandao wa Instagram kuungana na fans wake zaidi ya milioni 12 baada ya kuwatelekeza kwa kipindi cha miezi 6 ambapo picha ya mwisho kuiweka katika akaunti yake ilikuwa Mei 3 mwaka huu.
Tangu arudi saa 24 zilizopita tayari ame post picha 11 kwenye ukurasa wake.



https://www.facebook.com/theclicktz


Hamisa Hassan Mobeto ambaye ni model na actress anayesusua katika tasnia ya filamu nchini anadaiwa kuwa mapenzini na Diamond Platinumz a.k.a Sukari ya warembo huku uhusiano wao ukidaiwa kuwa wa muda mrefu tu ila wamefanya kuwa siri. 


Chanzo kimoja kilichodai kuwa karibu na Hamisa ambaye alishawahi kushiriki Miss Tanzania kiliuambia mtandao huu "Hivi mnajua kuwa Diamond anawachanganya
DUNIA hii basi tena! Ni tukio la kusisimua ukilisoma mwanzo hadi mwisho lakini ni la kikatili sana! Ni lile la ndugu wawili warembo, dada na mdogo wake kukutwa wamekufa kwa kunyongwa ndani ya nyumba aliyokuwa amepanga mmoja wao huku muuaji akidaiwa alivaa taulo lenye weupe wa kufifia akitokomea zake.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea hivi karibuni kwenye Mtaa wa Mji Mpya, Kata ya Azimio wilayani Temeke jijini Dar es Salaam ambapo warembo hao, Mariam Buruhani (39) na dada yake Nuru Tumwaga (42) (pichani) walikutwa wamekufa katika nyumba hiyo aliyopanga Mariam.

Thursday, October 30


10nnt 
Kutoka nyumbani kwa marehemu Mzee Manento ambaye alikua akiishi Kigogo Dar es salaam na taratibu za mazishi bado zinaandaliwa ingawa mpaka sasa familia bado haijapanga wapi atapumzishwa Mzee Manent0.
Godfrey David Manent0 ambaye ni mtoto wa nne wa marehemu David Manent0 kwenye interview na millardayo.com amesema ‘Mzee wetu alikua akisumbuliwa na lishe ambapo hali hii ilianza baada ya mama yetu kufariki miaka miwili iliyopita‘
5nnt
Godfrey David Manento mtoto wa 4 wa marehemu Mzee Manento.
‘Si kwamba alikua hapati chakula, vyakula vilikuwepo vya kutosha lakini alikua anakosa mtu wa kumpa matunzo ya ndani ya nyumba kama mke kwa hiyo tangu afariki mama mzee alikua
condom
Mwanamke mmoja mwenye watoto watatu katika wilaya ya Kole nchini Uganda alimuandalia mumewe mlo wa mipira ya kondomu kufuatia ugomvi usiokwisha kati yao.
Mwanamke huyo ambaye ni mkaazi wa eneo la Arao aliripotiwa kununua paketi tatu za kondomu aina ya “Trust” kutoka duka jirani kabla ya kuzipika na kumuandalia mumewe kama chakula baada ya kurudi nyumbani akiwa amelewa chakari.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Monitor la nchini Uganda, mwanamke huyo aliikata kata mipira hiyo ya kondomu ambayo ilikuwa haijatumika katika vipande vidogo vidogo na kuvichemsha kwa muda kabla ya kuvikaanga kwa mafuta ya kupikia na viungo vingine.
Waandamanaji wakilitazama bunge la Burkina Faso likiteketea kwa moto.
Waandamanaji hao wakishangilia baada ya kuchoma bunge.…
Gari la aina ya Lamboghirn gharama yake kwa hela za Tanzania ni Shillingi Billioni Moja na Nusu. Davis anakuwa Mtanzania wa kwanza kumiliki gari hili la kifahari ambalo ili ulinunue ni lazima uende kiwandani na kutoa order maalum tu na sio vinginevyo. Hata huko USA Star Mweusi wa kwanza na wa mwisho kulimiliki alikuwa ni Mike Tsyon miaka kama 15 iliyopita, lakini vinginevyo wengine wote wamekuwa wakiendesha kwa kukodi tu kutoka kiwandani na sio kulimiliki,
Diamond-alipanda-na-gwanda-za-jeshi (1)
Diamond akiwa kwenye moja ya show zake

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Rwekaza Mukandala amekanusha taarifa zilizozagaa zinazodai kuwa msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz atatunukiwa Shahada ya Uzamivu (PHD) kutokana na mchango wake kwa jamii.

Akizungumza na paparazi huru, Prof. Rwekaza Mukandala ambae yupo nje ya nchi kwa sasa amesema taarifa hizo si za kweli ni uzushi tu.
Mkuu wa kampuni ya Apple Tim Cook ametangaza jinsia yake akisema kuwa ''anajivunia kuwa shoga''..Bwana Cook alitoa tamko hilo ili kujaribu kuwasaidia watu wanaong'ang'ana kutangaza jinsia zao katika ripoti iliochapishwa katika gazeti la biashara la kila wiki la Bloomberg.Amekuwa wazi kuhusu jinsia yake,lakini pia amejaribu kuweka maisha yake katika
faragha hadi sasa alisema.Wiki hii Bwana Cook

Sunday, October 26

Iran Madam 
Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja ambaye alifanya jaribio la kumbaka.
Taarifa iliyoripotiwa na CNN inasema mwanamke huyo amenyongwa katika gereza la Tehrain, Iran ambapo alikuwa amefungwa baada ya kutenda kosa hilo mwaka 2007 wakati huo akiwa na umri wa miaka 19.
Mwanamke huyo amekutwa na hatia hiyo kutokana na kosa la kumuua aliyekuwa mfanyakazi wa wizara ya ulinzi na usalama nchini Iran, Morteza Abdolali.
Shirika la kimataifa la haki za binadamu
Jonas Nkya
John Nkya, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Morogoro
Taarifa zilizoenea mitandaoni saa chache zilizopita, zinahusiana na tukio la kurushiana risasi baina ya aliyekuwa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Dk. Lucy Nkya na mtoto wake

Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu. 
Baada ya watu kuja na Ushahidi mbalimbali juu ya umri wake






Kama umefuatilia katika wiki hii kumekuwa na vuguvugu kali linaloendelea kati ya Mahasimu hawa wawili, sasa wengi wakiwa hawajui nini chanzo cha Bifu kubwa linaloendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba.


Imepita takriban miaka miwili tu baada ya kuingia mkataba na Times 100.5 FM, mtangazaji maarufu nchini Gardner Habash sasa yupo mbioni kuacha kazi katika kituo hicho.


Habari za uhakakika ambazo hazina shaka zinapasha kuwa mtangazaji huyo ataanza kazi mpya na kituo cha EFM 93.7 pia cha jijini Dar es Salaam.

Mula 
Mbulaine Mulaudzi ambaye alikuwa mwanariadha mahiri nchini Afrika Kusini amefariki kwa ajali akiwa safarini kuelekea Johannesburg kushiriki kikao cha wanariadha.
Rais wa chama cha kimataifa cha riadha (IOC) Thomas Bach amesema Mulaudzi alikuwa mwanariadha wa pekee ambapo anatajwa kuwa mmoja ya wanariadha na wanamichezo ambao Afrika Kusini itaendelea kuwaenzi kwa mchango mkubwa alioufanya kuiinua nchi hiyo katika ramani ya michezo. .

Thursday, October 23



MISS Tanzania 2014, Sitti Mtemvu juzi alilipua bobu la 2, baada ya kulazimisha safari ya kwenda kushiriki Miss World 2014 huku vigezo na masharti hasa yanayohusiana na cheti chake cha kuzaliwa yakipingana naye.
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu akiongea na wanahabari (hawapo pichani).
Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya Ukumbi wa Ngorongoro katika Hoteli ya JB Belmont, Posta Mpya jijini Dar es Salaam, Sitti alisema ana miaka 23 kwa kuwa…
Stori:  Musa Mateja MISS Tanzania 2014, Sitti Mtemvu juzi alilipua bobu la 2, baada ya kulazimisha safari ya kwenda kushiriki Miss World 2014 huku vigezo na masharti hasa yanayohusiana na cheti chake cha kuzaliwa yakipingana naye.
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu akiongea na wanahabari (hawapo pichani).
Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya Ukumbi wa Ngorongoro katika Hoteli ya JB Belmont, Posta Mpya jijini Dar es Salaam, Sitti alisema ana miaka 23 kwa kuwa alizaliwa mwaka 1991.
Pamoja na Lundenga kuweka wazi mchakato waliyotumia hadi kumfanya Sitti kuibuka na taji la Miss Tanzania 2014, bado kuna dosari za wazi ambazo zilijionesha kuwa mrembo huyo analazimisha safari hiyo kwani cheti chake cha kuzaliwa kinaonesha ana miaka 23 lakini namna cheti hicho kilivyotolewa ndiyo utata na ulazima ulipotokea.
Cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Baadhi ya waandishi walimuhoji Sitti juu ya cheti hicho ambacho kinaonesha kimetolewa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Uzamini (RITA), Septemba  9, mwaka huu, siku 32 tu kabla ya kutwaa taji hilo.
Swali ambalo lilitawala kwenye kikao hicho lilikuwa ni kwa nini cheti hicho kitoke ndani ya muda mfupi wakati anaonekana alikuwa akiishi nje ya nchi kwa muda mrefu, na kwamba huwezi kuishi nje ya nchi bila paspoti ambayo pia upatikanaji wake unatakiwa kuwa na cheti cha kuzaliwa alisema kilipotea!
Akaulizwa alitoa ripoti kituo gani cha polisi ili waandishi waende kuulizia, akagoma!

Mbunge wa Temeke, Mh. Abasi mtemvu.
“Mimi nadhani alichoongea Hashim Lundenga kinajitosheleza na zaidi naona mnanisakamasakama bila sababu ya msingi, nimechoka kuandamwa na vyombo vya habari pamoja na mitandao.
“Kama kuna mtu anaona cheti hakiko sahihi basi aende ofisi husika ili ajiridhishe juu ya hilo hata suala la kuniambia nina mtoto nafikiri mnaweza kwenda hospitali yoyote kuulizia hilo,” alisema Sitti.
..amekaa pembeni ili aweze kumfafanulia japo kwa ufupi juu ya mkanganyiko huo kama tangu alipomzaa Sitti hakuwahi kumchukulia cheti cha kuzaliwa hadi alipoamua kushiriki mashindano hayo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga.
“Mambo ya Sitti naomba muulize yeye maana ndiye mshiriki wa Miss Tanzania, mimi sijawahi kushiriki hata siku moja na hapa nimekuja kumleta yeye tu, hivyo siwezi kuzungumza lolote juu ya hilo, kikao hiki kimeandaliwa na Miss Tanzania na si ukoo wa Mtemvu,” alisema mama huyo.
Hili ni bomu la pili, la kwanza ni lile lwa kudai ana miaka 18 siku alipojitambulisha kwenye shindano hilo, Mlimani City, Dar na kuzua utata mkubwa kwenye jamii.



 VERONICA NA AFANDE MWENZAKE WAKIWA KWENYE MAHABA MAZITO


MTAALAMU MWENYEWE: MANAIKI SANGA THE DON AKIWA NA MWANAMUZIKI WA BONGO FLAVA TOKA ZANZIBAR MAARUFU KWA JINA LA DIDA AMBAE NI MTOTO WA MJANE WA MWISHO  WA RAIS WA KWANZA WA ZANIBAR MZEE KARUME

Ni aibu kubwa kuona mtu aliyekabidhiwa kuendesha akaunti ya twitter ya chuo kikuu cha Mzumbe hajui English. Nmeamua kusema hivyo baada ya kukutana na makosa mengi sana ya lugha kwenye akaunti hiyo. Ni Dhahiri kabisa mtu anayeendesha akaunti hiyo haijui kabisa lugha hiyo. Nmeanza kupata hisia mbaya kua inawezekana ile imani ya watu kupeana kazi kinyemela ndo imepelekea yote haya kutokea. Hebu soma baadhi ya Tweets zilizopo kwenye akaunti hiyo kisha nipe maoni yako. mzumbe 2 mzumbe
Jeneza la Kiti 
Kuna taarifa ambazo kama ukibahatika zikakufikia, zinaweza kukuacha kinywa wazi ama kukushtua kwa namna fulani.
Stori ambayo nimeipata hivi punde kutoka 254 Kenya inahusiana na mazishi ya aina yake ambapo familia moja imefanya mazishi ya mzee wao aliyekuwa akifahamika kwa jina la Adriano Aluchio anayetajwa kuwa mzee wa kuheshimika kwenye jamii hiyo akiwa amekaa ndani ya jeneza lilichongwa kwa namna ya kipekee tofauti na ilivyozoeleka.
Baadhi ya watu waliohojiwa kuhusiana na tukio hilo wamesema ni utamaduni wa ja
.
Taarifa zinazomhusu msanii Diamond Platnumz kuhojiwa na jeshi la Polisi hii leo zimeenea sana kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuanzia jana (tarehe 21 Oktoba) meneja wa msanii huyo Babu Tale amekua akihojiwa na polisi mpaka alipoachiwa kwa dhamana mapema leo saa 5.
Vile vile msanii Diamond aliripoti polisi mapema leo kwa ajili ya kuhojiwa, ambapo baada ya kuhojiwa msanii huyo ameachiwa kwa dhamana pia jioni hii.
Hizi ni picha zikimuonesha msanii Diamond akitoka kuhojiwa na jeshi la polisi.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
-