Ni matumaini yangu kuwa msomaji wangu umzima wa afya njema na unaendelea na majukumu yako ya kujitafutia mkate wa kila siku. Namshukuru Mungu kwa kunijalia afya njema na kunipa tena nafasi ya kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi.
Friday, August 30
Thursday, August 29
Wednesday, August 28
August 28, 2013
Unknown
MU hali gani mabibi na mabwana kwa kukutana tena kwenye
safu yetu ya kujuzana mawili matatu kuhusu maisha yetu ya kila siku.
Japo leo nilikuwa nimeandaa mada nyingine.
Lakini wakati najiandaa kuandika alikuja rafiki yangu wa karibu ambaye aliniletea matatizo mengi kutoka kwa mzazi mwenzake, ambaye wamezaa watoto wawili na wanaishi pamoja kama mke na mume.
Lakini wakati najiandaa kuandika alikuja rafiki yangu wa karibu ambaye aliniletea matatizo mengi kutoka kwa mzazi mwenzake, ambaye wamezaa watoto wawili na wanaishi pamoja kama mke na mume.
Monday, August 26
August 26, 2013
Unknown
Kutokana na Historia na mazingira tofauti tofauti, Mastaa wengi ambao tunawasikia sasa, umaarufu ndio umeweza kubadilisha maisha yao kwa kuwapatia utajiri mkubwa, na wengi wanafahamu kuwa umaarufu wao ndio chanzo cha utajiri wao.
On the other side of the coin, Kuna mastaa ambao umaarufu wao umekuja tu.. wakati wao tayari ni matajiri ama wametokea katika familia tajiri, soooo... www.sammisago.com, inakufahamisha mastaa hawa ambao 'mulla' walikuwa wamekwishazizoea 'fore hawajakuwa maarufu.
Wa kwanza ni Taylor Swift, mtoto wa Scott Kingsley Swift ambaye ni Financial Adviser wa kampuni maarufu ya Merill Lynch, Amesoma shule binafsi na maisha ya kifahari sana, Baba yake anamiliki lebo kubwa kabisa ya Muziki ya Big Machine ambayo Taylor mwenyewe ana shares asilimia 3.
Wa pili ni Willow na Jaden Sm
Thursday, August 22
Wednesday, August 21
August 21, 2013
Unknown
Awali ya yote niwasalimuni wapenzi na wasomaji wa blog hii ya kevylarity.blogspot.com
Ndugu zangu, sasa turejee katika mada yetu ya leo. Nazungumzia mambo muhimu ambayo vijana wa sasa wanatakiwa kuyazingatia wakati wanatafuta pumziko la kweli. Upendo wa kweli si jambo dogo. Kumpata mwenzi wa maisha si maigizo!
August 21, 2013
Unknown
Mtu Huyu Ana Uzito Wa Kilo 610, Kutokana Na Afya Yake Kuhitaji Msaada Kitaalam, kutokana na kuzidi kunona kadri siku zinavyozidi kwenda.
Mfalme wa Saudi Arabia, ameingilia kati mpango wa kumsaidia Raia wa nchi hiyo, Khalid bin Mohsen Shaari ambaye ndiye binadamu mnene na mzito zaidi duniani akiwa na uzito wa kilogram 610, katika mchakato wa kumtibu na kumrudisha katika hali nzuri zaidi.PICHA;KONGAMANO LA VIJANA WA UMOJA WA AFRICA MASHARIKI{EAC} LILIVYOFANA HUKO HAI MKOANI KILIMANJARO.
August 21, 2013
Unknown
August 21, 2013
Unknown
Arsenal (arsenal.com)
InYaya Sanogo (Auxerre) Free
Out Andrey Arshavin (Zenit St Petersberg) Free Francis Coquelin (Freiburg) Loan Denilson (Sao Paulo) Free Johan Djourou (Hamburg) Loan
Sunday, August 18
August 18, 2013
Unknown
bonyeza linki hii kutizama ufuska wanaoufanya.....................
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=2pMHebAMsTQ
Saturday, August 17
August 17, 2013
Unknown
Click hapa kuitazama video hiyo kuona jinsi walivyobambwa na mwandishi wetu..........................
http://www.youtube.com/watch?v=ndsivHfbxNY&feature=player_embedded
Friday, August 16
August 16, 2013
Unknown
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitia usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom na kumuidhinisha Mrisho Ngasa kuchezea timu ya Yanga baada ya kukamilisha usajili wake.
Mwenyekiti Alex Mgongolwa amesema kuwa Ngasa alisaini mkataba mwingine Simba wakati alikuwa na mkataba na (Azam) hivyo anatakiwa kurejesha fedha alizopokea (sh. milioni 30) pamoja na fidia ya asilimia 50 (sh. milioni 15) ya fedha hizo kwa Simba.
Kamati imemfungia mechi sita za mashindano (kuanzia mechi ya Ngao ya Jamii), na anatakiwa awe amelipa fedha hizo ndani ya kipindi hicho cha kukosa mechi hizo ikitokea akishindwa, hataruhusiwa kucheza hadi atakapolipa fedha hizo.
mbali na sakata la ngasa pia wachezaji wa kigeni kamati imeagiza wasiruhusiwe kucheza mpaka watakapopata hati za uhamisho wa kimataifa(ITC) na vibali vya kufanya kazi nchini(Work Permits
Thursday, August 15
August 15, 2013
Unknown
Hakuna
ubishi Cristiano Ronaldo ni moto uwanjani na anatajwa kama mmoja ya
wachezaji bora wa dunia. Hivyo mchezaji bora wa dunia mtu ambaye ni
nembo ya soka, hivyo anahitaji kuwa vitu bora kimojawapo ni mwanamke,
huyu hapa mtoto wa kirusi anaitwa Irina Shyk ni kweli kabisa anastahili
kuwa demu wa mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo. Irina Shyk ndio
anatufungia listi yetu ya wasichana ambao wana mvuto wamewahi ama wapo
katika mahusiano na wanasoka.
Wednesday, August 14
Tuesday, August 13
August 13, 2013
Unknown
Monday, August 12
August 12, 2013
Unknown
Hii nayo ni maajabu, mwanamke huyo ambaye alikuwa anarekodiwa aliweza kujifungua mtoto huyo peke yake huku akiwa kasimama. Sijui kama linawezekana hili kwa mwanamke wa kawaida, ila inaonekana alipewa donge none kujidhalilisha kiasi hichi.
(Tahadhari Video Ina Maudhui ya Wakubwa Tu)
Video ipo hapa
<<< VIDEO HIYO>>>
August 12, 2013
Unknown
kevy: Haya ndugu yangu za masiku hatuonani ila mimi nakuona tu kwenye luninga.
AYO: Aiyaa….! Wakuu ni aje ni kitambo kimepita hatujaonana ila mimi niko poa tu nakaza buti.
kevy: Usiende
mbali tunajua uko bize lakini hebu kaa kitako uzungumze na mhariri
wangu kuhusu mawili matatu watu wasio yajua kuhusu wewe.
August 12, 2013
Unknown
Sunday, August 11
Saturday, August 10
August 10, 2013
Unknown
MSHAURI WAKO NAMBA MOJA
Mwanamke sahihi kwako ni yule ambaye anakushauri hasa unapokuwa katika matatizo makubwa zaidi ya kimaisha.
Mwanamke sahihi kwako ni yule ambaye anakushauri hasa unapokuwa katika matatizo makubwa zaidi ya kimaisha.
Sifa hii itaonekana tangu mapema kabisa, unapokutana naye ukiwa huna
furaha, ni rahisi kukuliza kulikoni, anakuuliza si kwa sababu anataka
kuona furaha yako pekee bali pia anataka kujua kama kuna tatizo ili
aweze kutoa mchango wake wa mawazo katika tatizo lako.
Subscribe to:
Posts (Atom)