Sunday, July 28
July 28, 2013
Unknown
Carzola avunja ukimya kufuatia tetesi za kuhamia Atletico Madrid
Kiungo wa Arsenal, Santi Cazorla amesisitiza kwamba hana
mpango wa kuondoka klabuni kwake pamoja na tetesi zinazomuhusishwa kuondoka
majira ya kiangazi.
Muhispania huyo amefurahia kuanza mechi za pre-session Arsenal na kulikuwa na
tetesi kwamba atakwenda Atletico Madrid.
Ingawa Cazorla amekiri kwamba siku moja
atarudi La Liga, amesema hana haraka kuondoka Emirates kwa sasa.
"Mengi yamesemwa kuhusu Atletiko Madrid, Lakini najisikia vizuri kuishi London," Cazorla alikiambia chombo cha habari vya ESPN hivi............
"Mengi yamesemwa kuhusu Atletiko Madrid, Lakini najisikia vizuri kuishi London," Cazorla alikiambia chombo cha habari vya ESPN hivi............
Saturday, July 27
July 27, 2013
Unknown
KUJICHUA/PUNYETO NA
MADHARA YAKE. (MASTURBATION)
Uchuaji wa mara kwa mara na kutokwa kwa manii
huchochea mwitiko wa mwili unaofanya kazi ya kikemikali mwili iitwayo
Acetylcholine/parasympathetic nervous kufanya kazi na hivyo kusisimuliwa kuliko
kidhili husababisha mwili kuzalisha Sex homoni nyingi sana na Neurotransmitters
kemikali mwili kama acetylcholine, dopamine and serotonin kwa wingi sana.
July 27, 2013
Unknown
really i dont know what actually happened, but this what the message sent to me from a source
She Ran out of the House in the Morning after Sleeping in her Sugar daddy’s house Overnight. After all their **** she woke up in the Morning Jump out of the Mansion naked & running about the Street masturbating unstoppably as if she has been Sex Starved.
Friday, July 26
July 26, 2013
Unknown
Another MP has been exposed and is alleged to have been
dumped by his mistress after he was caught red handed enjoying the
fruits of a Campus student who was looking for a rich man.
The MP from Rift Valley is in great distress and confused. This is because his long-term and Closest Mistress quitted the relationship after realizing he was dating university students.
His Long term Mistress known as ‘Madam wa Boss’ was the brain
behind all the MP’s political success even resulting to him being named
the Best MP within Baringo County
July 26, 2013
Unknown
Hili ni sakata la
kikongwe
mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na
kuwapangisha makahaba katika eneo maarufu kwa jina la Kijiji cha
Makahaba.
Mwandishi wetu alipokea ujumbe mfupi ulioelezea ufuska
unaofanywa na mabinti ambao hupewa eneo na kujenga vibanda kisha kujiuza
kwa bei chee katika kijiji hicho maeneo ya Kigamboni jijini Dar.
Bada ya simu hiyo, uchunguzi wetu ulibaini kwamba, eneo hilo linalofanyiwa
ufuska huo linamilikiwa na kikongwe aliyejitambulisha kwa jina la mzee
Matutu akidaiwa kuendesha maisha kwa biashara hiyo ya madanguro.
Thursday, July 25
July 25, 2013
Unknown
PUNDA ABAKWA HADI KUPOTEZA MAISHA HUKO NCHINI KENYA.
Huko
Kamahuha, Maragua nchini Kenya kumetokea tukio ambalo liliwashangaza
sana wakazi wa eneo hilo baada ya kukuta maiti ya Punda aliyedaiwa
kubakwa mpaka kufa na watu wanne wenye njaa ya ngono.
July 25, 2013
Unknown
Maadili
ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka kila kukicha hasa kwa watoto wa
kike ambao wengi wao wamekuwa wakiendekeza ufaska wa tamaduni
za nchi za ng'ambo wa kujirekodi wakiwa uchi na kujipiga
wakiwa uchi.
Hii ni video ya mabinti hao walioamua kujiumbua wenyewe( Ni sharti uwe mtu mzima )
Hii ni video ya mabinti hao walioamua kujiumbua wenyewe( Ni sharti uwe mtu mzima )
Wednesday, July 24
July 24, 2013
Unknown
STAA wa filamu na muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameingia matatani akidaiwa kuingia mitini na simu tatu za mkononi alizoaminiwa nchini Afrika ya Kusini alikokwenda kufanya shoo.
Msanii huyo alikumbwa na kasheshe hilo Julai 19, 2013 nyumbani kwa
mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sinza Mori, Dar.
CONTINUE READING:
July 24, 2013
Unknown
Mabasi ya abiria Matatu
a.k.a ‘mathree’ moja ya nchini Kenya imeonekana ikiwa imejaa chata
zenye majina ya msafi Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz kitu
ambacho kinaweza kufanya uhisi anaubia.
Ofcourse nina uhakika Platnumz anaubia tena mkubwa sana na wahusika wa matatu hiyo, sababu wenye matatu hiyo wanaonekana kuwa mashabiki wake wakubwa ukizingatia Diamond anaubia na mashabiki wake wote.(bila mashabiki msanii si kitu)CHEKI PICHA HAPA
Ofcourse nina uhakika Platnumz anaubia tena mkubwa sana na wahusika wa matatu hiyo, sababu wenye matatu hiyo wanaonekana kuwa mashabiki wake wakubwa ukizingatia Diamond anaubia na mashabiki wake wote.(bila mashabiki msanii si kitu)CHEKI PICHA HAPA
July 24, 2013
Unknown
LICHA ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani watu wengi kuogopa kufanya maovu, jimama anayekwenda kwa jina la Joyce Benson (34), amefumwa akifanya ngono katika makaburi ya Malapa, Buguruni jijini Dar.
Joyce amekamatwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita saa nane katika maeneo hayo akifanya biashara haramu ya kuuza mwili wake katika makaburi hayo kwa njia ya kujipatia fedha.
July 24, 2013
Unknown
KIVAZI cha ndugu wa maharusi, kimesababisha patashika katika Kanisa
Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Peter, baada ya Paroko Msaidizi wa Kanisa
hilo, Padri Paulo Haule, kusitisha ibada mpaka mhusika atoke akavae
vizuri.
“Ninatoa dakika 10 kwa aliyeingia na mavazi ambayo hayatakiwi kanisani humu kutoka mara moja akavae vizuri, la sivyo ndoa yao haitafungwa,” alisema Padri Haule wa Kanisa hilo lililoko Oysterbay, Dar es Salaam.
Awali vurugu hizo zilizotokea Jumamosi iliyopita, zilianzia nje, wakati Katekista wa Parokia hiyo, Yohane Maboko, alipotangazia wanandoa na ndugu zao waliokuwa mabega wazi au kuvaa nguo fupi, kutafuta nguo za kujifunika au wasiingie kabisa kanisani.
Maharusi walikubali kutekeleza ombi hilo, wakavishwa vitambaa mabegani
“Ninatoa dakika 10 kwa aliyeingia na mavazi ambayo hayatakiwi kanisani humu kutoka mara moja akavae vizuri, la sivyo ndoa yao haitafungwa,” alisema Padri Haule wa Kanisa hilo lililoko Oysterbay, Dar es Salaam.
Awali vurugu hizo zilizotokea Jumamosi iliyopita, zilianzia nje, wakati Katekista wa Parokia hiyo, Yohane Maboko, alipotangazia wanandoa na ndugu zao waliokuwa mabega wazi au kuvaa nguo fupi, kutafuta nguo za kujifunika au wasiingie kabisa kanisani.
Maharusi walikubali kutekeleza ombi hilo, wakavishwa vitambaa mabegani
Tuesday, July 23
July 23, 2013
Unknown
Ndoa nzuri kabisa ambayo mimi naamini kwamba inaweza kudumu, ni ile ya kati ya mwanaume kiziwi na mwanamke kipofu.
Mwanaume hatasikia ghubu na kelele za kulalamika za mkewe kila wakati hivyo atakuwa na amani wakati wote na mwanamke naye hataona mwenzake akitoka nje ya ndoa au akikodolea macho wanawake wengine na kuwakonyeza wala kumuona akisoma meseji za mapenzi kutoka kwa mahawara zake kwenye simu yake.
Kwa hali hiyo ndoa hiyo itakuwa na amani na itadumu kwa miaka dahari.
Ni nani anabisha....?
Monday, July 22
July 22, 2013
Unknown
Diamond Platnumz azungumzia kifo chake “kama nikifa kesho je wasanii wenzangu wataniimbia?”
Sunday, July 21
July 21, 2013
Unknown
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.
Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.
Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji wake Mungu.
1. MIDOMO YAKE.
Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).
July 21, 2013
Unknown
Katika
hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja
suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara
kwa watu wanaoendekeza sana ngono.
Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu.
Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta
kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’ kwa sababu tu hakuna wa kumkataza
na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.
Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa
upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya
watu wanaolalamika kupoteza hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la
watu wapenda ngono.
Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.
Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.
Twende pamoja katika kutazama madhara hayo kwa kina.
July 21, 2013
Unknown
Kaimu Mkurugenzi wa habari wa JWTZ, Meja Joseph Masanja amesema miili hiyo imewasili leo Jumamosi majira ya saa 9.45 alasiri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNIA na imehifadhiwa katika hospitali ya jeshi ya Lugalo hadi Julai 22 ambapo itaagwa rasmi.
Miili iliyowasili ni ya Sajenti Shaibu Othuman, Koplo Oswald Chaula, Koplo Mohamed Juma, Koplo Mohamed Chikilizo, Pte. Rodney Ndunguru, Pte. Peter Werema na Pte. Fortunatus Msofe.
Shughuli za kuagwa miili ya wanajeshi hao zitafanyika katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa vilivyoko Upanga jijini Dar es salaam.
Kuwapoteza wanajeshi hawa ni TUKIOP la kwanza na kubwa kwa nchi ya Tanzania tangu Tanzania ilipoanza kuchangia walinzi wa amani chini ya Umoja wa Mataifa mwaka 2007. Wanajeshi wengine watatu wa Tanzania walifariki dunia mwezi uliopita baada ya chombo chao cha kusafiria kusombwa na maji ya mto uliokuwa umefurika huko nchini Sudan.
July 21, 2013
Unknown
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini imesema karibu nusu ya watu waliojitokeza kupima vinasaba (DNA) ili kubaini uhalali wa watoto wao, vipimo vimeonesha si wazazi halisi wa watoto waliopimwa.
Takwimu hizo ni kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2010, ikionesha kuwa, asilimia 48.32 ya wazazi 'wanalea' watoto wasio wa kwao wakati asilimia 51.68 ndio wazazi halali.
Hayo yameelezwa jana na Mkuu wa Kitengo cha Makosa ya Jinai, Vinasaba na Baiolojia wa ofisi hiyo, Gloria Machuve katika mkutano na wanahabari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dar es Salaam.
Ingawa hakutaja idadi kamili ya waliojitokeza kupima DNA, alisema idadi hutofautiana mwaka hadi mwaka. Ili kufanya vipimo vya DNA, wazazi hulazimika kulipia Sh 100,000.
Machuve alisema kazi ya DNA si kutambua watoto halali na wasio halali pekee, bali vipimo hivyo vina umuhimu mkubwa kwa jamii.
July 21, 2013
Unknown
Baada ya
kumpa shavu The Heavy Weight MC Profesa Jay kwenye joto hasira, Lady JayDee
a.k.a Anaconda anaendeleza utamaduni wa kuwapa mashavu wasanii wakongwe na
wakali..hivi karibuni alirekodi wimbo na Q chilah, and guess Who’s next, ni
Juma Kassim Nature Kiroboto.
Kupitia
akauunti yake ya twitter Anaconda amewapa fans wake good news kuhusu ujio wa
ngoma yake na Juma Nature, huku akitaka kujua kama wako tayari kuipokea.
Saturday, July 20
July 20, 2013
Unknown
CREDIT ; Radio Wapo, Radio Tumaini
Subscribe to:
Posts (Atom)